Kikwete yuko Vietnam

Kikwete yuko Vietnam

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,236
Reaction score
14,874
10402379_811523085578354_4082408879449939251_n.jpg


Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi.
 
Kuna siku nilikuwa sehemu fulani, jirani niliyekaa naye akaniambia "Rais wa Tanzania" kawasili hapa leo...Nikabaki nashangaa tu, kabacholi wa mtaani anajua ------ katia team, mm bilabila. Ilikuwa aibu ati! Safari zimezidi, hadi nyingine zinakuwa kimyakimya!
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!

mkuu pinda akitoka poland anakwenda oman si unajua sultan zawadi zake ni mwendo wa bata kwenda mbele
 
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !
 
mkuu pinda akitoka poland anakwenda oman si unajua sultan zawadi zake ni mwendo wa bata kwenda mbele
Wanapishana na Mbowe alikuwa hapo Oman kwa sultan anakula bata kwenda mbele.

teh teh teh
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!
Mmeshindwa kumpindua kwa kutumia sanduku la kura katika chaguzi kuu mbili za kidemokrasia, kwa sasa ndiyo mtaweza kwa njia nyingine.

Waulize wale walidai na kusema hawamtambui lakini cha kushangaza kila mara wanakwenda Ikulu kuomba msaada wa kisiasa pale maji ya kisiasa yanapowafika shingoni.

Kazi za Rais Kikwete hazihitaji kutumia darubini ili uzione.

The President is delivering on his promises to make Tanzania so much the better.

Watanzania hawawezi kuishi kwa kutegemea maneno ya wanasiasa pekee kama wale waliodai hawamtambui, bali Watanzania wataishi kwa kutegemea matendo ya wanasiasa.
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!

Na wewe nenda Kenya ukiwa ndugu zakk kama 200 hivi ili umpiku Kikwete maana naona unawasha sana kila ukisiki Rais kasafiri.
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!
mimi nadhani ungeanza wewe kumpindua!!!
 
Atatuletea ebola!! Hivi hajfunzi kwa wenzake!! Akialikwa hata kwenye birthday kikwete hakatai, atakwenda
 
Kikwete ameingia Vietnam kwa ziara na msusururu wa Mtu kama miaa hivi, kudadeki... halafu kama hiyo haitoshi Pinda naye yuko Ulaya naye kabeba mtu kama 100 hivi na hiyo ni kwa wiki mbili sasa, huku nako Mwandosya yuko Zambia, achilia hao wengine ambao wala Ziara zao hazitangazwi kudadeki... hivi hakuna Mtu wa kumpindua huyu Jamaa arghhhhhhhhhh!
Huyu bwana mkubwa bora angeajiriwa na NASA
 
Hivi wale waliosema kuwa nchi haitatawalika wapo hai au wamekufa?
 
Back
Top Bottom