Kikwete unamuogopa Mwakyembe

Yeye pia ni binadam kuna mda anaweza kwenda tofauti,yeye sio mungu!!!! Mbona hatusemi wizara zingine?!,ujue hadi tunaongea inamaana kuna kitu hakijaenda sawa!!!!

TAMISEMI imeenda sawa kwa mfano? Maswali ni mengi kuliko majibu
 
Mto ngana na songwe, kila mwaka mafuriko, kwanini, asigeboresha kama mkapa alipojijengea daraja la kwao masasi?
 
Mwakyembe alienda Marekani na kutia saini ya makubaliano ili kuleta reli ya uwanja wa ndege wa Dar es Salaam. Muwekezaji aliyehusika inadaiwa ni tapeli anayefahamika duniani. Ndugu Shumake. Ni vizuri wamemuhamisha kuepusha hili dili lisiendelee.

Labda kama sababu ni hiyo. Wazee wa vetting labda kuna kitu wamekiona kwake. Ila ilipaswa tu wamwambie hiki usifanye. Zee la viwango tusubiri kama ataweza
 
Khaa!! Kuna akili za ajabu sana humu. Ndiyo maana tulishauri waziri asiwe mbunge kwa sababu ya ujingaujinga kama huu. BTW sasa hivi lahamia wizara mpya labda ataipigania Kyela ihamie Nairobi au Kigali
 
Jamani tumwache rais afanye kazi yeye ndo mwenye dhamana

Nawachukia sana watu wenye mawazo kama yako. Yawezekana hujawahi hata kulipa kodi ndani ya nchi hii. Lakini hata vocha hununui? Maana hata mawasiliano yako juu kwasababu ya watu wachache wezi. Pole ndugu jitathimini saaana
 
mkashitaki ikulu,kwani lazima atumikie uchukuzi? rais kafanya vile ili kuleta ufanisi
 
Nilikuwa.sifahamu.kuwa.kwenda wizara ya.afrika.mashariki ni.adhabu na.kwamba kuna.watu.hawafai.kuitumikia ile.wizara

Huwezi kujua kwasababu hutaki kujua, ila ukitaka kujua utajua
 
Kumbe sitta huwa anaigiza na akina wolper,na ray

Nilikuwa namuheshimu sana yule mzee, ila amekuwa akifanya juhudi za kujisafisha kwa boss wake. Kwenye katiba ndo heshima zote ziliisha na hii inadhihirisha kuwa jamaa ni bonge la acter, yuko kwa masilahi yake na kutaka heshima ambazo hadi sasa keshazikosa kwa wananchi. Miez hii ilobaki itakuwa balaa pale bandar na airport
 
Tatizo sio uwaziri alionao, tunachosema hata ubunge aliopewa bado hajaitendea haki wilaya yake, jimbo lake linarudi nyuma badala ya kwenda mbele, Huyu mwakyembe katurudisha enzi za kasyupa, barabara ni vumbi kiasi kwamba umatakiwa utembee na ndoo ya maji ya kunawa ukifika uendapo, kyela ninayoijua mim umeme haukuwahi kukatika wakati tunahudumiwa na kiwika coal mine, lakin siku hzi umeme unaweza kukatika hata siku 3 bila maelezo ya msingi, kwel kyela imechakaaa sana si kyela niliyokulia.
Kwakeli inasikitisha sana kuona mbunge hajali jimbo lake.
Pia kitendo chakumchagua mtu ambaye familia yake inaishi Dar ni kosa kubwa, kwasababu si rahis kujua adha mnazopata wananchi, kasafisha kibarabara cha ikolo kwa kua mama yake yupo kule,
Abhandu bha kukyela mungamleka umundu hujhu, tukatele na loli.
 
Kyela bado haijapata mbunge. Na Mijitu ya kyela ni mibonafsi sana
 
Malafyae unamuonea tu MWAKYEMBE, huko Mwanza hajapeleka meli wala kujenga bandari! Hata Dar bandari hajajenga. Labda useme huko anakutembea sana kila mara na huko kwenye bandari ya kwenu haji mara kwa mara. Hiyo ni kwa vile anakufahamu sana huko haitaji kuja kufahamu matatizo yake.
 
wananchi wa jimbo la kyela tulipata faraja kubwa baada ya kukabidhiwa wizara hii, umeshindwa kuiga kwa mawaziri wenzio,

Uwaziri sio kupindisha mipango ya serikali kwa faida ya jimbo lako, usimlinganishe Harisson na vibaka ktk siasa, alilitumikia taifa sio kyela pekeee
 

Kitendo cha kusema 100% hajawahi fika kyela wakati unakumbuka kuwa hata wakati wa janga la mafuriko alikuwepo kyela,hapo umeshanikatisha tamaa kujadili mada.au ulitaka aache ofisi Dar aje kulala kyela?Hata hivyo tunataka mlalamike kwa ubunge wake,sio mnakuja kulalamika eti Mwakiembe hakuifanyia kitu kyela kwa nafasi yake ya uwaziri.je kama hakupata loophole ya kuipendelea kyela?afanye tu?c ndio?
 

Mkuu mimi nakuelewa vizuri,ila kutaka upendeleo bila sifa stahiki ni kosa kubwa sana.Haiwezi kupelekwa Meli ambayo kimsingi Rais aliahidi iende ziwa victoria halafu Mwakiembe aipeleke kyela.hivi hapo unapaonaje?
 

Yapasa kuwa waangalifu. Mnaweza kudhani hafai kiasi hicho mkaja mkampata mwingine ambae ni taizo zaidi mkaishia kunyang'anywa hata kidogo mlicho nacho.
 
Mleta mada ana ujasiri wa ajabu sana kuleta mada kama hii public.ni hatari sana kustimulate waziri apendelee kwao,yani waziri asipeleke meli iliyoahidiwa na mhe.Rais/chama wakati wa kampeni ila aipeleke kyela kwao?
Si lazima alete meli , lakini ukumbuke kwamba Mwakyembe kama mbunge alikuwa na ahadi za kuboresha miundo mbinu kwenye jimbo lake , sasa kama ameshindwa akiwa jikoni ataweza akiwa bafuni ? Lingine ni kwamba hakuna waziri yeyote aliyekatazwa kutimiza ahadi jimboni kwake , hakuna andiko la namna hiyo ! Bali ukweli ni kwamba Mwakyembe ameshindwa kutimiza kile alichoahidi kyela na ATAVUNA ALICHOPANDA , HAKUNA CHA MSWALIE MTUME WALA YESU NI JIBU .
 
MUNGU akulinde sana mkuu .
 
Abhandu bha Kyela na gwa kutukujhu bha ka na mahala kabisa. Mwakyembe ikubhuja na Mwakyusa jhope ikubhuja mwi bunge
Nakamo nakamo , kangi ngubhula ukuti mwakyembe mma imbombo jake mwa kyela jimalike , ngasimanya isya mwakyusa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…