Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kikwete kama katika sherehe za mei mosi mwaka huu utaalikwa kama mgeni rasmi, na katika hotuba yako ukathubutu kuzungumzia nyongeza mpya ya mshahara basi huna budi kuthubutu kuwambia wafanyakazi hatima ya pesa zao za DECI.
Ndiyo! Pesa walizopeleka DECI ambazo serikali ilizichukua.
Ni wafanyakazi hawa hawa na waatnzania wengine walikwenda kukopa katika mabenki mbalimbali na kuzipeleka DECI wakitaraji kuvuna. wengine walichukua akiba au pato lao la ziada na kulipeleka DECI.
Serikali mlipojulishwa kuwa DECI ni kama upatu, mkachukua hatua ya kuisimamisha. VEMA.
Lakini mlikuwa na wajibu wa kuzirudisha fedha mikononi mwa wanachama wote wa DECI kila mtu apewe haki yake.
Kwanini hamjawarudishia watanzania pesa zao hadi sasa?
Kwanini mnazivuta siku hadi kesho?
Mabilioni hayo mmeyafanyia nini?
Warudishieni wafanyakazi na watanzania wengine fedha zao "walizopanda" DECI.
Rais Kikwete thubutu sasa kulizungumzia suala la DECI katika hotuba yako ikiwa tu utathubutu kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi.
Ndiyo! Pesa walizopeleka DECI ambazo serikali ilizichukua.
Ni wafanyakazi hawa hawa na waatnzania wengine walikwenda kukopa katika mabenki mbalimbali na kuzipeleka DECI wakitaraji kuvuna. wengine walichukua akiba au pato lao la ziada na kulipeleka DECI.
Serikali mlipojulishwa kuwa DECI ni kama upatu, mkachukua hatua ya kuisimamisha. VEMA.
Lakini mlikuwa na wajibu wa kuzirudisha fedha mikononi mwa wanachama wote wa DECI kila mtu apewe haki yake.
Kwanini hamjawarudishia watanzania pesa zao hadi sasa?
Kwanini mnazivuta siku hadi kesho?
Mabilioni hayo mmeyafanyia nini?
Warudishieni wafanyakazi na watanzania wengine fedha zao "walizopanda" DECI.
Rais Kikwete thubutu sasa kulizungumzia suala la DECI katika hotuba yako ikiwa tu utathubutu kuzungumzia maslahi ya wafanyakazi.