Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,024
Na Obama nae aelewe.Ameniboa sana alipotoa hotuba yake ya kulaani mapinduzi haya kwa lugha ya KIINGEREZA wakati wanasema wanataka lugha ya kutumika kwa EAC iwe ni kiswahili.
Na Obama nae aelewe.Ameniboa sana alipotoa hotuba yake ya kulaani mapinduzi haya kwa lugha ya KIINGEREZA wakati wanasema wanataka lugha ya kutumika kwa EAC iwe ni kiswahili.
Nyie wajinga acheni upuuzi wenu, mama zenu wanamakosa gani hadi kuwaingiza jf? Kuweni na adadbu kwa mama zenu. Pumbafffff. sa.na.We unaona mama yako ndo kazaa mtu?hahaha acha kuchekesha walionuna.
Sijaona tofauti ya Raisi Nkurunzinza na yule Dj mhuni wa Billicanas. Wote ni wanajisi katiba, mbona tunamshambulia mmoja tu??Hivi ni kweli hawa viongozi wetu wana akili kwenye bongo zao? Eti wanapinga mapinduzi ya wajeda hapo BURUNDI. Kwahiyo inamaana wanaunga mkono machafuko yaliyokuwa yanaendelea na kusababisha vifo vya wananchi wa Burundi? Wajeda wameamua kuzima jaribio la uvunjwaji wa sheria uliotaka kufanywa na huyu kijana PIERE.
Kwa njia waliyotumia (MAPINDUZI JAPO HAYARUHUSIWI) lkn imesaidia na wananchi wameshukuru na amani itarejea. lakni namshanga huyu mwenyekiti wa kikao cha jana cha marais kujadili kutokukubali mapinduzi yaliyosaidia kufuta fikra potofu za kutaka kuvunja sheria halali.
Napata mashaka yaliyotokea BURUNDI huenda nasi hapa tujiandae kwa kutokana na usanii unaofanywa na serikali hii wajeda wanaweza kufanya yao kama walivyofanya wajeda wa BURUNDI.
Warundi ni wajinga, wanashabikia vitu vya ajabu. Piere kikatiba hakuwa rais wa wananchi ktk mhula wa kwanza, alikuwa rais wa mpito. Tatizo kuna watu tu wanapenda vita
nimeshtushwa na kusikitishwa na laana-kulaani mapinduzi ya kijeshi ya burundi. Kulaani huko kumefanywa na rais kikwete kama mwenyekiti wa eac. Kwaniaba ya eac. Amelaani mapinduzi hayo kwakuwa kulikuwa na mazungumzo yanaendelea. Kweli!?
Yaani watu waendelee kuandamana. Watu waendelee kuandamwa na vyombo vya dola. Watu waendelee kuwa wakimbizi. Watu waendelee kuuwawa. Kisa kuna mazungumzo. Sidhani kama eac imemwaga laana za halali.
Nkurunziza amekataliwa. Wananchi wake hawamtaki. Yeye anataka kuendelea akiwa hatakiwi. Vurumai. Jeshi lifanyaje? Mapinduzi huwa mwarobaini wa vurumai ikibidi.
Katika marais wa eac,rais kikwete na rais kenyatta ndiyo wasafi. Wanaendeleza demokrasia kwao. Ndiyo wanaoweza kusema na kunyoosha kidole cha lawama na ukweli. Kimewapata nini tena?
Siamini!
Mzee tupatupa(safarini kwenda arusha)
kwamba wewe ndiye unaye ijua???usipotoshe umma! Unaijua katiba ya burundi wewe?
Warundi ni wajinga, wanashabikia vitu vya ajabu. Piere kikatiba hakuwa rais wa wananchi ktk mhula wa kwanza, alikuwa rais wa mpito. Tatizo kuna watu tu wanapenda vita
Siyo kumkamata tu achapwe na viboko kadhaa matakoni ili ajifunze adabu. Watu wanakufa yeye anang'ang'ania madaraka.Siungi mkono mapinduzi lakini kwa mazingira ya Burundi naunga mkono kwa asilimia zote,tena ingekuwa vizuri kama wangemkamata ili ajibu mashtaka ya machafuko na mauwaji ya raia wasio na hatia!inatia hasira sanaa!!
Nimeshtushwa na kusikitishwa na laana-kulaani Mapinduzi ya Kijeshi ya Burundi. Kulaani huko kumefanywa na Rais Kikwete kama Mwenyekiti wa EAC. Kwaniaba ya EAC. Amelaani mapinduzi hayo kwakuwa kulikuwa na mazungumzo yanaendelea. Kweli!?
Yaani watu waendelee kuandamana. Watu waendelee kuandamwa na vyombo vya dola. Watu waendelee kuwa wakimbizi. Watu waendelee kuuwawa. Kisa kuna mazungumzo. Sidhani kama EAC imemwaga laana za halali.
Nkurunziza amekataliwa. Wananchi wake hawamtaki. Yeye anataka kuendelea akiwa hatakiwi. Vurumai. Jeshi lifanyaje? Mapinduzi huwa mwarobaini wa vurumai ikibidi.
Katika Marais wa EAC,Rais Kikwete na Rais Kenyatta ndiyo wasafi. Wanaendeleza demokrasia kwao. Ndiyo wanaoweza kusema na kunyoosha kidole cha lawama na ukweli. Kimewapata nini tena?
Siamini!
Mzee Tupatupa(safarini kwenda Arusha)
Ni heri mama yako angezaa mkate tukanywea chai kuliko kuwa na mtu mwenye akili kama yako.