FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,940
- 109,361
Hii ni tofauti na alichosema kwenye bunge la katiba!
Alisema nini? tuwekee nukuu.
Hii ni tofauti na alichosema kwenye bunge la katiba!
Huyu jamaa ni mnafiki sana!
j.k ni mnafiki ndumilakuwili mkubwa na ndiye anayevuruga mchakato wa katiba!
Huyu jamaa ni mnafiki sana!
Kwahiyo ameamua aanze kujirudishia matusi aliyomtukana Jaji Warioba, sasa kwanini akasemee mbali huko?
JK hatakaa atabirike. Ni rais asiyejua anakotoka wala anakoenda. Pathetic.
Sasa hapo undulumila kuwili wa Kikwete uko wapi.
Watanzania waishio LONDON walimbana na risala yao mpaka akakosa mlango wa kutokea, akatengua kauli ya serikali 2. Unafiki ni jadi yake.
JK hatakaa atabirike. Ni rais asiyejua anakotoka wala anakoenda. Pathetic.
Umesahau katika hotuba hiyo pia alitamka bayana kuwa hayupo tayari kushuhudia muungano ukivunjika yungali madarakani???
zamlockJK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
Vyo vyote itakavyo kuwa ila TANGANYIKA muihimu sana.!!!!
Sasa wewe ulitaka muungano uvunjike na yeye yupo madarakani?
JK akiwa London amesema maamuzi ya wananchi ndiyo yatakayoheshimiwa kwa sababu kama wananchi wataamua basi CCM wajiandae hizo serikali tatu.
Pia amesema alishawashauri CCM kwenye vikao vya ndani wajiandae kupokea hiyo serikali tatu kama wananchi wataamua.
Inaonekana CCM ni wabishi sana na JK alishaona serikali tatu hazikwepeki.
Inavyoonekana watu ama kwa kupotosha au kutojua wanachanganya issues.
Wakati anahutubia bunge la katiba aliweka bayana kwamba wenye wajibu juu ya muundo wa serikali upo kwa wabunge,alichofanya Kikwete ni kutaadharisha juu ya uwezo wa serikali ya tatu bila kuwa na vyanzo vya kuaminika vya mapato yake.
Pale BBC alikuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari, hivyo alichosema pale ni kuwa IKIWA wananchi wataamua serikali tatu ,yeye atakuwa hana njia ye yote ya kuzuia, bali kutekeleza maamuzi ya wanachi. Sasa hapo undulumila kuwili wa Kikwete uko wapi.