Kikwete: Sina tatizo na uwepo wa Serikali tatu Tanzania!

...mm napendekeza serikali 4....ya Tanganyika...Unguja...Pemba...na Muungano....
 
Wakiitwa wanafiki atafutwe mshindi JK anaweza kushinda vibaya mno,kwa unafiki alionao'
 
amedai tatizo wananch hawajui athari ya serikali3.moja inawez ikakwam hapo ndpo tatzo.narasimu imeonyesh athar y serikl3

Na majaji wa tume zote tatu zilizopendekeza serikali tatu nao hawaelewi?

Kama yeye anaelewa mfumo unaotakiwa aliunda tume ya nini?!
 
watu wanashindwa kuelewa jk hakwenda kufungua bunge la katiba bali alienda kutoa maoni yake kuh serikali 3. na kuwatisha na kuwagawanya wajumbe. serikali ya 3 itakuwa na virungu, pingu vifaru bunduki n.k na wakicheleweshewa mshahara tutakoma
 
Dah jk kichekesho hayo anaenda kuongelea London kwanini asingesema hayo bungeni ckuile atumwelewi
 
JK yuko ugenini, wanawaeza kumrudisha haraka akienda tofauti na mapendekezo ya wananchi. Anaweza kunyimwa baadhi ya haki kama rais huko ugenini. Subiri akirudi, atakanusha kila kitu.
Unajua, ukifika ulaya hata akili hubadilisha mbinu za kutambua mambo. Alipoingia tu pale London Heathrow Airport akajikuta anaanza kukomaa akili. Akirudi JKN Airpot tayari nazi zitaanza kuchukuwa nafasi. Wazungu wametunza mazingira yanaleta afya mpaka kwenye akili.
 
Niliwahi kula ban hapa jf kwa kukoment kitu kizuri tu, sasa ni bora nipite tu maana naweza kula hata ban ya kuishi maana usalama wa Tanzania ni kwa viongozi!
 
Wananchi wapi anaowazungumzia zaidi ya wale waliokuwa presented kwenye data za Warioba ?. Kumbuka alihoji uhalali wa data za Warioba ! Labda hao wananchi ana maana ni viongozi wa CCM !

Na vile vile alisema kama mnataka serikali tatu subirini kwanza mimi niondoke !

Bado tu hujaona undumilakuwili wake ?

Inavyoonekana watu ama kwa kupotosha au kutojua wanachanganya issues.

Wakati anahutubia bunge la katiba aliweka bayana kwamba wenye wajibu juu ya muundo wa serikali upo kwa wabunge,alichofanya Kikwete ni kutaadharisha juu ya uwezo wa serikali ya tatu bila kuwa na vyanzo vya kuaminika vya mapato yake.

Pale BBC alikuwa anajibu maswali ya waandishi wa habari, hivyo alichosema pale ni kuwa IKIWA wananchi wataamua serikali tatu ,yeye atakuwa hana njia ye yote ya kuzuia, bali kutekeleza maamuzi ya wanachi. Sasa hapo undulumila kuwili wa Kikwete uko wapi.
 
Na majaji wa tume zote tatu zilizopendekeza serikali tatu nao hawaelewi?

Kama yeye anaelewa mfumo unaotakiwa aliunda tume ya nini?!
Nazi mpaka ibanjuliwe ndo inaelewa kuna maji na nyamanyama nyeupe tu. Watu wa Mbeya unajua kwamba hawajui majina tofauti ya zao la mpunga? Mmea ukiwa shambani ni MPUNGA, wakivuna ni MPUNGA, wakikoboa ni MUNGA, wakiupika ni MPUNGA. Wewe ndiye ujuaye kuna mmea, tunda lake, mchele na ubwabwa, labda akelu kungisi.
 
Back
Top Bottom