sun wu
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 2,020
- 1,419
hivi kazi yake ni kushauri tu au ? na aliyowashauri wasiposikiliza ushauri wake then what ?
waliofanya fujo ni waharifu na wahuni ningetegemea angesema waliofanya fujo watatupwa ndani na watakaofanya fujo sheria itawabana haya mambo ya ushauri akawape wakiwa gerezani
waliofanya fujo ni waharifu na wahuni ningetegemea angesema waliofanya fujo watatupwa ndani na watakaofanya fujo sheria itawabana haya mambo ya ushauri akawape wakiwa gerezani