Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Jephta2003 Ni uzushi,kikwete O level alisoma kibaha sec school na A level alikuwa Tanga school,hayo yanayosemwa ITV na huyo mzee sijui yametoka wapi,huenda anazungum
Kwa umri wa JK ulivyo hivi sasa ni lazima alisoma primary darasa la 1 - 4 (Mtihani) then Upper middle school 5 - 8 (Mtihani) halafu Secondary School 9 - 12 ndio hiyo Kibaha (Mtihani) na A level akamalizia Tanga
Hivyo basi ukitaka kujua hilo jina alilipata wapi basi inabidi urudi kwao ambako kiuhalisia ni sehemu za karibu ya Miono or Miono penyewe, Miono pale kuna historia ya Kanisa la kwanza kujengwa Tanganyika na wakoloni (kama nimekosea mnirekebishe) na hawa wakatoliki walikuwa wanapenda sana kujenga kanisa na shule za primary kwa pamoja na nina wasiwasi sana ingawa sina uhakika shule ambayo sasa ni Lugoba Secondary naona inahusika moja kwa moja na Mr Sam Luhanga.. nina jamaa zangu huko Miono wana historia ya majina kama Mr Sam na wanatumia majina yao vizuri tu na ukiwauliza mbona ndugu zao ni waislam? watakupa jibu kuwa walifuata elimu/shule tu na si vingenevyo, Nafikiri huyu mzushi aliyevumbua jina hilo lazima atakuwa amefanya utafiti na upembuzi yakinifu (kama barabara za magufuli) maeneo ya shule za primary kule Miono na Lugoba
Kwa umri wa JK ulivyo hivi sasa ni lazima alisoma primary darasa la 1 - 4 (Mtihani) then Upper middle school 5 - 8 (Mtihani) halafu Secondary School 9 - 12 ndio hiyo Kibaha (Mtihani) na A level akamalizia Tanga
Hivyo basi ukitaka kujua hilo jina alilipata wapi basi inabidi urudi kwao ambako kiuhalisia ni sehemu za karibu ya Miono or Miono penyewe, Miono pale kuna historia ya Kanisa la kwanza kujengwa Tanganyika na wakoloni (kama nimekosea mnirekebishe) na hawa wakatoliki walikuwa wanapenda sana kujenga kanisa na shule za primary kwa pamoja na nina wasiwasi sana ingawa sina uhakika shule ambayo sasa ni Lugoba Secondary naona inahusika moja kwa moja na Mr Sam Luhanga.. nina jamaa zangu huko Miono wana historia ya majina kama Mr Sam na wanatumia majina yao vizuri tu na ukiwauliza mbona ndugu zao ni waislam? watakupa jibu kuwa walifuata elimu/shule tu na si vingenevyo, Nafikiri huyu mzushi aliyevumbua jina hilo lazima atakuwa amefanya utafiti na upembuzi yakinifu (kama barabara za magufuli) maeneo ya shule za primary kule Miono na Lugoba
Last edited by a moderator: