JK kitabu chake kinatoka lini?
Mapitio ya awali yameshafanyika
Kaeleza namna alivyotumwa na Mzee Butiama kwenda kumshawish Salim wakakutana Nairobi lakin Salim akakataa
Mwl akawasiliana na Mzee Mwinyi wakamwambia akachukue form
Kitabu kitabamba sana kwa kuwa Jk kapita pita sana kwenye Milima na ya kisiasa kuliko Rais yeyote mwingine wa Tz
Mchakato wa 1995, wa 2005, 2010 na wa 2015 utakuwa ni zaid ya Habari kama hatoficha ficha mambo kidiplomasia