mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Ya kukufanya wewe ukapotea muda wowote atakaotaka yeye.Asa hadhi ipi unaona itakidhi ikiwa unabeza?
Ya kukufanya wewe ukapotea muda wowote atakaotaka yeye.Asa hadhi ipi unaona itakidhi ikiwa unabeza?
ukiwa rais wewe ni mtz kama wengine acha ujinga, huyu Mpoto anaeenda ikulu kama chooni je anaichezeaTaasisi ya urais ilichezewa sana.
ukiwa rais wewe ni mtz kama wengine acha ujinga, huyu Mpoto anaeenda ikulu kama chooni je anaichezea
natamani wajinga wote kama wewe nitandike vibokoAnaenda kusuluhishwa?
Acha utaahira.
natamani wajinga wote kama wewe nitandike viboko
True yaani alikuwa amebase na mziki tuu kila leo diamond yupo ikulu wanajadili album 😀😀😀😀😀😀Taasisi ya urais ilichezewa sana.
Thubutu magu hana muda huo kama jk kila leo huku madini yanaibwaMbona hata leo bado wanaenda ikulu
katika kuweka kumbukumbu sawa . Ieleweke kwambaBwana Juma hakutokea..
Kweli mkuu,inawezekana hata sasa hivi Magu anasikitika balaa Harmonizer alivyoondoka kule WCB mpk anashindwa kula vzr,ila soon atamuita Diamond ili amsuluhishe na harmo.
Hapana,wanapendana sana.Kwan harmo na diamond wanaugomvi?
SanaTaasisi ya urais ilichezewa sana.
Sio siri jamani jk ukimsikiliza kwa makini huyu mzee ana maono mazuli anaona mbali mnoo
Maneno ya huyu mzeee kwa watu wenye akili kuna vitu tumejufunza kuhusu maisha ya kwamba "majuto ni mjukuuu" huyu juma nature kama angetulia Leo hiii angekuwa mbalii mnooo britanicca,
Wallah utalimia menoKwa kuwa alitaka kusuluhisha Wasanii?
Wasanii ni Raia pia na kazi zao zinakatwa kodi kuendesha Serikal pia
Nawaza Mwamba asiejimwambafai Dr Magufuli akuite Ikulu kukusuluhisha halafu ukatae kwenda Ikulu hahahah