Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
Baada ya Mkutano wa Dr.Slaa wa Mwembe yanga ambao umepelekea mgombea ubunge wa jimbo la Temeke kupitia Chadema kufikishwa kituo cha polisi kwa madai kwamba alitoa lugha ya Matusi,Mgombea Urais huyo wa ccm amejibu mapigo kwakuuita ule Mkutano ulikuwa ni Mkusanyiko wa Majuha.