Mkuu najaribu kufikiria sakata hili zima na jinsi ulivyo yaainisha hayo unayo yaita "matusi" mawili, ya jk na dickson,
Wadhani pia ntamlaimu sana JK? kwani lawama nyingi ntazipeleka kwa Campaign Manager wake Kinana kwani yeye na jopo lake ndio lapaswa kumwambia JK hapo no na hapo yes,
Wao wakakimbia kutuma barua tume kuwa hawa wametutukana huku JK nae anatoa matusi kama musemavyo kuwa nae katukana.
1: Asiye Funzwa na mama yake atafunzwa na ulimwengu
2: Ni genge la majuha na watukanaji
NEC wanala kujiridhisha kwa kauli hizo mbili au Itawachukua Muda nao kuchakachua? Au watatupilia mbali malalamiko hayo.
Asilimia atakazopata JK hapo 31 Oktoba ni sawasawa na asilimia ya Watanzania Majuha