futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Well,
Kama ni kweli, Basi kheri.... Lakiniiii kwanini kuanzisha projects nyingine kubwa kubwa wakati hata hizo zilizopo hazijakamilika au hata kuanzwa? Mfano, upanuzi na uboreshaji wa bandari ya Mtwara na Tanga? Manake nimesoma bajeti na inaonekana kweli pesa nyingi tu zimeelekezwa huko bwagamoyo.
Kama ni kweli, Basi kheri.... Lakiniiii kwanini kuanzisha projects nyingine kubwa kubwa wakati hata hizo zilizopo hazijakamilika au hata kuanzwa? Mfano, upanuzi na uboreshaji wa bandari ya Mtwara na Tanga? Manake nimesoma bajeti na inaonekana kweli pesa nyingi tu zimeelekezwa huko bwagamoyo.