Kikwete na mawaziri kadhaa kuzuru Muscat Jumatatu 15, Oktoba 2012

Acha umbeya wewe ikulu imetoa taarifa kama anakwenda kusaini mikataba?au unatulazimisha tuamini mawazo yako?
Halafu oman haiombi msaada toka nchi yeyote duniani inajitegemea kwa 100% ombaomba ni sisi


In March (2011), the Gulf Cooperation Council pledged $20 billion in financial aid to Oman and Bahrain over a 10-year period to assist the two nations in their struggle with Arab protests.

Ngongoseke, next time kabla ya kuandika kitu, jiridhishe una uhakika na unachoandika. Si kila mtu ni mbumbumbu na sio kila taarifa inatoka Ikulu ya Magogoni. Umesoma press statement ya Oman kuhusu ujio wa rais wa Tanzania?
 
Kwetu wananchi ni safi kupata habari hizi mapema mapema; kwa hadhi na utendaji wa Ikulu kuna kitu hakija kaa sawa kabisa ni aibu sana taarifa na picha za Mkuu na Ikulu ziko nje nje kila wakati hata kabla ya presidential press releases!

Usalama wa Taifa, Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Mawasiliano na hata mpiga picha Michuzi mpo????????
Acha aende nae anaakili zake ndomana watanzania wa kamwain na kumpa nchi subirini 2015wana nchi waliowengi wataamua.
 
kwann aondoke na kundi kubwa la watu kiasi hiko?au ndo wanaenda kumsaidia ku-negotiate-if at all they are good at that!halafu usikute kila mtu atenda na mke wake!
 
Tunamkumbuka Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere. Alikuwa hakubali kudanganyiwa PIPI ili kugawa keki ya taifa. Siku hizi ni tofauti.
 
Labda wanaenda kuangalia wale wanyama waliopelekwa huko kupitia KIA wako kwenye hali gani ili wakamate mshiko wao.
 
http://www.google.com/url?sa=t&rct=...7YDwCg&usg=AFQjCNGDcrVpjuY_YaHQmxd2T0XZ5eALiw

http://www.nemetschek.ro/_studii_de_caz/img/ing/DryDock_Oman.pdf

http://oneoman.com/2011/05/06/duqm-port-major-shift-in-economic-development-in-oman/

Link inaonyesha port of duqm (oman) inayojengwa ambayo itakuwa kubwa sana ndani ya Middle East.

images
 
Itakuwa safari yake ya ngapi juu ya anga? Haijafika kweli safari ya 666???

Kazi ipo haswa!
 
Vasco dagama (JK) kisha ingia Muscat na kalakiwa na mizinga 21!
 
Serikali haina fedha za kutufadhili katika mipango ya kuwasaidia walio wengi kama huduma za afya, shule n.k. lakini kwa wakubwa wanatumia watakavyo hata hicho kidogo tunacokusanya kwa manufaa yao..

Huu si ndiyo msimu wa hija. itakuwa sehemu ya kutimiza nguzo hiyo muhimu.
 
H.M the Sultan Receives President of the United Republic of Tanzania

Muscat, Oct 15 (ONA) --- His Majesty Sultan Qaboos Bin Said received President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania who today started a several-day visit to the Sultanate in response to an invitation from His Majesty the country's Monarch and in crowning of the historic relations binding the two friendly countries
Source: Welcome to Oman News Official Website

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said wakipokea heshima za viongozi muda muda mfupi baada ya Rais Kikwete kuwasili jijini Muscat Oman leo mchana kwa ziara rasmi(State Visit) ya siku tatu nchini Oman.



Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri la Sultani jijini Muscat leo. (picha na Freddy Maro)

Picha zaidi za matukio ya ziara ya J.k nchini Oman bonyeza hapa: http://www.omannews.gov.om/ona/english/pictDetails.jsp


 
Amepokelewa na mfalme wa Omani hebu juzeni nyuma ya pazia kuna nini ni safari kama zingine za kiserikali, kitalii kweli niondoeni mashaka niliyonayo kuhusu hii safari hasa katiba mpya na issue ya OAC
 
Back
Top Bottom