Kikwete na mawaziri kadhaa kuzuru Muscat Jumatatu 15, Oktoba 2012

Kwetu wananchi ni safi
kupata habari hizi mapema mapema; kwa hadhi na utendaji wa Ikulu kuna
kitu hakija kaa sawa kabisa ni aibu sana taarifa na picha za Mkuu na
Ikulu ziko nje nje kila wakati hata kabla ya presidential press
releases!

Usalama wa Taifa, Katibu Mkuu, Mkurugenzi wa Mawasiliano na hata mpiga
picha Michuzi mpo????????

michuzi akizipost kwenye blog yake tayari ni public domain.
 
Leo alikuwepo hapa MbAGAla....

alikwenda kuwapongeza akina ponda kwa kuangamiza makanisa. WITO WANGU WAKRISTO TUANDAMANE KUSHINIKIZA KIKWETE AONDOKE MADARAKANI.amevunja katiba ya JMT kwa kulea vikundi vya wahalifu na ugaidi nchini. kamwe haiingii akilini makanisa zaidi ya 24 yachomwe moto nchi nzima halafu kusiwepo na kesi hata moja mahakamani.anawalea! anawalea! WAKRISTU TUUNGANE TUSIKUBALI TENA KUCHAGUA RAIS MWISLAMU.
 
hivi akituma wawakilishi hawatoshi,kwani ni lazima kila mahali aende yeye,hizo pesa si zingetumika kwa mipango mingine ya maendeleo,EEEBHANA KWA UTALII WA NJE TUNATISHA
 
hadi sakata la makanisa kuchomwa litulia.
Hatujamzoea tu mkimbia matatizo?
 
Anaenda kutoa taarifa kwamba mpango wa kusambaratisha wakristo unaendelea vizuri sana...Kikundi cha uamsho kimefanya kazi nzuri sana, Makanisa ya Zanzibar yamechomwa vya kutosha na sasa huku Bara pia tumeshaanza kuwadhibit tumeanzia Tunduru na baadae Mbagala na mpango wa kumwachia Urais Benard Membe (Mr OIC) unaendelea vizuri japo kuna Kafir mmoja kwa jina EL anataka kuleta kiwingu...Lakini tayari vijana wa UVCCM Bagamoyo wameshampa live kwamba hakuna Rais atakaye toka Kaskazini
 
Usikute Wanataka kununua bagamoyo manake kigamboni si bush ameshaiwahi, wito wangu kwa mkulu mara hii usizikubali suti zao, hata misuli na kanzu usichukue manake we wanakuonea tu eti dhaifu usikubali kuwauzia chochote. Mwisho wa nasaha zangu, safari njema papaa jk vasco discovery
 
Bora waende kutembea na hao mawaziri wake wakaone vinchi vidogo ambavyo vimepata uhuru nyuma yetu vilivyopiga hatua za maendeleo mbali kabisa na sisi,
Muscat ni mji mzuri sana wenye mpangilio msafi saana,barabara nzuri waende wakajifundishe usafi pia,una fly over karibu kila mtaa,maana sisi fly over tumefanya mtaji wa kisiasa bora wasafiri wakajifunze,na nadharia ya waswahili tumerogwa haipo,serikali ya oman karibu vitengo vyote muhimu vinashikiliwa na waswahili waliosoma wakati wa nyerere lakini wameifanya nchi ya oman kuwa nchi ya mfano,bajeti ya serikali yao inajitegemea kwa asilimia 100 hakuna wafadhili,mimi naona waende wakajifunze,
 
Bilal abakie kulinda goli isije ikawa kama wiki mbili zilizopita ambapo viongozi wote mpaka makinda walikuwa wanakula bata ughaibuni.
 
Anaenda kuulizwa kwanini mboga za twiga na nyati hazipatikani, wakati kwa maige walipatikana, akumbuke zimebaki siku 1500 arudi msoga
 
Bora waende kutembea na hao mawaziri wake wakaone vinchi vidogo ambavyo vimepata uhuru nyuma yetu vilivyopiga hatua za maendeleo mbali kabisa na sisi,
Muscat ni mji mzuri sana wenye mpangilio msafi saana,barabara nzuri waende wakajifundishe usafi pia,una fly over karibu kila mtaa,maana sisi fly over tumefanya mtaji wa kisiasa bora wasafiri wakajifunze,na nadharia ya waswahili tumerogwa haipo,serikali ya oman karibu vitengo vyote muhimu vinashikiliwa na waswahili waliosoma wakati wa nyerere lakini wameifanya nchi ya oman kuwa nchi ya mfano,bajeti ya serikali yao inajitegemea kwa asilimia 100 hakuna wafadhili,mimi naona waende wakajifunze,
kumbe hata usafi inatakiwa tukajifunze nje?kazi ipo.
kaka hebu funguka nchi inaendelea kuuzwa hii wewe unakalia mambo ya usafi na mipango ya miji.kalagabaho!
 
Wanaenda kupokea mshiko wao baada ya kuiuza Zanzibar... ngojeni mtasikia zanzibar huru soon
 
Sijui safari inalenga kitu gani, labda yule bwana wa DOWANS aliyekuja kimya kimya. Hata hivyo ninachofahamu, Muscat ni wachunga mbuzi kama sisi. Anyway...

Uwezi kufananisha Tanzania Oman, Tanzania level yake ni Somalia na Congo.
 
Nyie hamtaki aweke record kama mtu alie safiri mara nyingi zaidi ya wote serikalini Tz

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Uwezi kufananisha Tanzania Oman, Tanzania level yake ni Somalia na Congo.

Tanzania ni zaidi ya Oman tatizo ni hao mbumbumbu unaowatetea kila siku wameshindwa kusimamia rasilimali zetu badala yake wanaenda kuwauzia waarabu.
 
alikwenda kuwapongeza akina ponda kwa kuangamiza makanisa. WITO WANGU WAKRISTO TUANDAMANE KUSHINIKIZA KIKWETE AONDOKE MADARAKANI.amevunja katiba ya JMT kwa kulea vikundi vya wahalifu na ugaidi nchini. kamwe haiingii akilini makanisa zaidi ya 24 yachomwe moto nchi nzima halafu kusiwepo na kesi hata moja mahakamani.anawalea! anawalea! WAKRISTU TUUNGANE TUSIKUBALI TENA KUCHAGUA RAIS MWISLAMU.
Halafu Waislamu nao wakiungana na kusema tusikubali kuchagua tena Rais Mkristo,unafikiri nchi itakuwa katika hali gani?...
Je? unaonaje tukilisukuma suala la kuigawa nchi kimajimbo (ya Waislamu na Wakristo)? huona kuwa ni suluhisho bora?
Samahani kwa kutoka nje ya mada.
 
kwahio yeye akiitwa tu, ahata kama kataniwa basi ameshaitika.........
 
Back
Top Bottom