Tatizo mazezeta ya UKAWA yameshindwa kushikilia ukweli huu watu wakaelewa; ingefaa hata iwe ndio kauli mbiu: WANATUONA KUKU WA KUDANGANYWA CHINJACHINJA MISISIEM. HII WASINGEIIGA KIRAHISI KAMA mabadiliko AU m4c
Kikao kinaendele Blue Pearl Ubungo Plaza kati ya Mheshimiwa Rais Kikwete na madereva wa bodaboda na bajaji. Wanajadili namna ya kuwasaidia. Swali hapa ni kwa nini hakuwasaidia muda wote hadi iwe sasa? Na je kwa muda uliobaki anadhani bado anaweza kuwasaidia?
Kwa nini hili jambo asiliache mikononi kwa serikali ijayo kwa kuwa tayari inaonesha limemshinda?
Na je haiwezi kuwa ni sehemu ya mkakati wa kampeni kwa chama chake?
Endelea Jk vijana wa kitanzania tunaitaji busara zako muda wowote
Nasema jamaa wamekuwa mabubu hawaongelei jinsi jamaa wanavyotuona malofa kwa kutulisha porojo na sisi tunachekelea na kuchinjwa kama kuku bora waweke hata slogan ya kuwachinja waoUmeandika nini hapa salim mbona kama unajichanganya?
okoa twiga kusafirishwa, uonevu kwa wastaafu, makato makubwa ya kodi kwenye mishahara ya wafanyakazi, ajira za upendeleo, katiba ya chenge na sitta, vyeo vya kulipana fadhila, meno ya tembo, gesi, madini na rasilimali nyinginezo, kwa kuikataa ccm.kikao kinaendele blue pearl ubungo plaza kati ya mheshimiwa rais kikwete na madereva wa bodaboda na bajaji. Wanajadili namna ya kuwasaidia. Swali hapa ni kwa nini hakuwasaidia muda wote hadi iwe sasa? Na je kwa muda uliobaki anadhani bado anaweza kuwasaidia?
Kwa nini hili jambo asiliache mikononi kwa serikali ijayo kwa kuwa tayari inaonesha limemshinda?
Na je haiwezi kuwa ni sehemu ya mkakati wa kampeni kwa chama chake?
mheshmiwa rais ameamua kuzungumza na madereva katka kile kinachoweza kutafsiriwa kama kujaribu kutafuta kura za madereva ili kukinusuru chama
Kikao kinaendele Blue Pearl Ubungo Plaza kati ya Mheshimiwa Rais Kikwete na madereva wa bodaboda na bajaji. Wanajadili namna ya kuwasaidia. Swali hapa ni kwa nini hakuwasaidia muda wote hadi iwe sasa? Na je kwa muda uliobaki anadhani bado anaweza kuwasaidia?
Kwa nini hili jambo asiliache mikononi kwa serikali ijayo kwa kuwa tayari inaonesha limemshinda?
Na je haiwezi kuwa ni sehemu ya mkakati wa kampeni kwa chama chake?
Huu ni mwendelezo wa ujanja ujanja na ubabaishaji wa serikali ya ccm,Mkataba kati ya mwajiri na mwajiriwa unaihusuje serikali?JK kesho ajipange pia kukutana na Mabar medi na mtondogoo CDsmheshmiwa rais ameamua kuzungumza na madereva katka kile kinachoweza kutafsiriwa kama kujaribu kutafuta kura za madereva ili kukinusuru chama
.Yaani ameona maji yako shingoni anajifanya kuwasikiliza leo ili wapate kura zao.mheshmiwa rais ameamua kuzungumza na madereva katka kile kinachoweza kutafsiriwa kama. kujaribu kutafuta kura za madereva ili kukinusuru chama
. Madereva msiwe wajinga ahadi za rais zikawahadaa, alijuwa wapi siku zote? Msihadaike mtakuja kujuta. Wanataka kura zenu tu hao, hawana lolote. Mchague Lowassa awe rais.mheshmiwa rais ameamua kuzungumza na madereva katka kile kinachoweza kutafsiriwa kama kujaribu kutafuta kura za madereva ili kukinusuru chama