Kikwete na Madereva wa bodaboda

Kikwete na Madereva wa bodaboda

Kikao kinaendele Blue Pearl Ubungo Plaza kati ya Mheshimiwa Rais Kikwete na madereva wa bodaboda na bajaji. Wanajadili namna ya kuwasaidia. Swali hapa ni kwa nini hakuwasaidia muda wote hadi iwe sasa? Na je kwa muda uliobaki anadhani bado anaweza kuwasaidia?
Kwa nini hili jambo asiliache mikononi kwa serikali ijayo kwa kuwa tayari inaonesha limemshinda?
Na je haiwezi kuwa ni sehemu ya mkakati wa kampeni kwa chama chake?

Nasikia et pia leo anaenda kuomgea jogging zote za dar. Kesho et atakuwa kwenye tamasha la kwaya taifa, Safali hii jk kazi unayo utafanya mipango kibao yote atafeli watu wanataka mabadiliko wamechoshwa na maigizo
 
Msikubali kurubuniwa, wakati akiwapiga marufuku kupitia kwa mkuu wa mkoa wa dar msiingie katikati ya jiji alikuwa hajui kuwa mtakuwa msaada mbeleni:what: yote tisa kumi mabadiliko lazima, ameshachelewa..!!
 
Wale vijana wana akili sana si rahisi awapate

hakuna kitu kibaya kama ndoto za mchana! full tank umewanunua.... box moja la viroba umewanunua... kwa taarifa yako wangapi sasa hivi wamapeperusha bendela za free masons (nyekundu na nyeupe??) Jana wamachame walikuwa wanahaha mji mzima wa mwanza kuhamasisha bendera.... wapi ...wadau wa uzalendo wameshtuka... mpaka 25th oct mtabaki wenyewe..JANJA yenu kwisha julikana ni kipigo tu..
 
Back
Top Bottom