Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,639
- 164,782
Bila shaka hii picha itakupa majibu ya maswali uliyo kua nayo kichwani mwako.....yetu macho na masikio kuelekea octoba 2015.
EL yupo safu ya nyuma na sio mbele alipo Rais.
Hata kwenye TV wameonekana hivohivo wapo jirani
Hivi hiyo picha ni ya leo leo pale uwanja wa Taifa?
Nauliza hivyo, kwa kuwa taarifa zilizokuwa zimesambazwa mitandaoni, tuliambiwa EL, yupo Ujerumani ambako alikuwa amelazwa hospitalini, akiwa katika 'coma' baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa.
Kwa hiyo wenye taarifa 'deeper' (msamiati wa Sefue) tunaomba mtujuze.
My eyes see the same. Yuko msitari wa nyumaMbona inaonekana mstari wa Mbele mkuu wa majeshi kufuatiwa na Raisi, halafu Raisi wa Znz , Halafu Mke wa Raisi , nyuma Yao Ndio anaonekana Lowassa na wengineo
Kwa wale mliosoma physics ya form I, topic ya light kwenye reflection, refraction na parallax, hiyo picha ni parallax tuu, Shein, JK na Davis ndio wako mstari mmoja, viti vya mbele, EL yuko kwa nyuma, ila due to parallax, anaonekana kama yuko nao mstari mmoja!.Bila shaka hii picha itakupa majibu ya maswali uliyo kua nayo kichwani mwako.....yetu macho na masikio kuelekea octoba 2015.
Uko right, na hiki ndicho nilichokisema hapa.Hata hivyo,Lowassa yuko mstari wa nyuma na Mwanyange ndio amesimama kwenye line moja na JK.
Kwa wale mliosoma physics ya form I, topic ya light kwenye reflection, refraction na parallax, hiyo picha ni parallax tuu, Shein, JK na Davis ndio wako mstari mmoja, viti vya mbele, EL yuko kwa nyuma, ila due to parallax, anaonekana kama yuko nao mstari mmoja!.
Pasco
Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo
Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?[/QUOTE kweli mzee picha hiyo haina miguu. Itakuwa imepachikwa.
Kuna watu wanamacho kumchuzi lowasa hapo yupo mstari wa pili na hayupo pamoja na rais na hii picha ni ya leo kama umekula viazi vibichi usitegemee kuona vizuri hapo[/QUOTE acha kutufanya woote atuli mchicha picha hiyo iko sambamba kabisa.hamna eti iko nyuma labda kivyako.
nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo jk na el waliweza kusimama karibu hivyo zaidi ya salamu tu - tena jk alitaka kumpita el bila kumpa mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo picha yenu vizuri mbona el hana miguu?
Wamependezea na sare sare maua ya tai zao!.