SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,615
- 929
ukisema ulingalia TV - utakuwa unachemsha zaidi - angalia post #130 utaona uongo wako na ukweli wangu! Kwa hali halisi nyuma ya mwamnyange hakuna nafasi ya mtu kusimama ndio Picha ya awali inavyoonyesha Kuwa EL kasimama nyuma ya Mwamnyange wakati sio kweli.Wewe ulikaa jukwaa kuuu ndo maana hukuona. Mimi mwanzo mwisho nimeangalia luninga. Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Nilishangaa pinda kaka pembeni kabisa. Pinda alikuwa mkono wa kulia wa mama wa WAMA
upo sahihi mkuu Mystery - hoja inathibitishwa na post #130Duh..... na kweli, nami nimeitazama kwa makini hiyo picha, nimejitahidi kuitafuta miguu ya EL kwenye hiyo picha, lakini sijafanikiwa kuiona!
Inawezekana hiyo picha ya 'kuchonga' itakuwa 'imetengenezwa' na campaign team ya mzee wa mamvi, ili kuwapa 'matumbo ya kuharisha' wale wote waliotangaza nia ya kugombea upresidaa mwakani, kwa tiketi ya magamba.
upo sahihi kabisa angalia post # 130Hana miguu....inaelekea aliingia kijini hapo karibu na mkulu au photoshop?
nadhani ndio maana wametengeneza hii picha ili hiyo furaha irudikWA KUPENDA GWARIDE NA NGOMA ZA KIENYEJI ,JANA NILITIMIA KAMA DK 50 KUANGALIA SHERHE ZA KUZALIWA KWA TANGANYIKA ! KAMA KAWAIDA WAKATI WA NGOAM VIONGOZI WALIKUWA WANAFURAHIA AUA KULZIMISHA KUONEKANA WANAFURAHIA BURUDANI HIYO ...LAKINI mH LOWASA ALAIKUWA AMETULIA KIMYA! SIKUELEWA USIRIASI HUO ULIKWA WA NINI ...LAKINI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAONEKANA ALIKUWA HAFURAHII SANA LILE TUKIO NA ALISHINDWA KABISA KUFICHA HIYO HALI ,NYIE WACHAMBUZI WA SIAS MTUMBIA TAFSIRI YA HALI HII
angalia post # 130, hakuna protocol ya kukaa au kusimama katika mstari huo, EL alikuwa nyuma benet na Mzee MsuyaEL Hana miguu kwa sababu yuko mstari wa nyuma. Kuna mtu aliwekewa kiti Kati ya JK na Mwamunyange na hukutokea hivyo kufanya picha ya EL kuonekana kana kwamba alikuwa sambamba na JK.
Huna hoja nasikia wewe Una kifafa kinakutokea wakati wakujianda kufanya shughuli pevu za kupalilia uwele!Lowasa ana ugonjwa wa kutetemeka kama kameza mjusi..naona aachane na mambo ya uraisi..watanzania hatuwezi kumgharamia matibabu atakapokuwa raisi....kwani kuna kazi ya kuondoa umaskini kwa watatnzania na siyo kuja kuangaika na mtu mmoja.
Hii picha ilipangwa na Wapambe wa Lowassa....hii ni adaa kwa umma wa watanzania na itatumiaka kwenye kampeni za 2015 ndani ya CCM.
kWA KUPENDA GWARIDE NA NGOMA ZA KIENYEJI ,JANA NILITIMIA KAMA DK 50 KUANGALIA SHERHE ZA KUZALIWA KWA TANGANYIKA ! KAMA KAWAIDA WAKATI WA NGOAM VIONGOZI WALIKUWA WANAFURAHIA AUA KULZIMISHA KUONEKANA WANAFURAHIA BURUDANI HIYO ...LAKINI mH LOWASA ALAIKUWA AMETULIA KIMYA! SIKUELEWA USIRIASI HUO ULIKWA WA NINI ...LAKINI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAONEKANA ALIKUWA HAFURAHII SANA LILE TUKIO NA ALISHINDWA KABISA KUFICHA HIYO HALI ,NYIE WACHAMBUZI WA SIAS MTUMBIA TAFSIRI YA HALI HII
Aliye andikiwa kaandikiwa tu, kanywe sumu ya panya..
Or go & search JACOB ZUMA...then compare with EL..
Richmond UNAIJUA ww..!!? stop diffusing on public area....!!!
A great man, is KNOWN WHEN HE FALLS DOWN and REBOUNDS BACK TO A HIGHEST LEVEL....!!! Hapo ndio utajua tht is a man to be a LEADER...!!!
EL proved all tht beyond dought...!!!
2015 EL CCM...!!!! byee byeeee
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kwa wale waliokuwa wanafuatilia kwa luninga watakuwa wameona jinsi gani jk alikuwa anajitahidi kkumsemesha el lakini yeye ameuchuna kinoma, hata pa kuchekesha alikuwa hacheki kabisa!Kwa picha hiyo jinsi inavyoonekana, inaonekana mzee wa mamvi na JK watakuwa 'wamecompromise' ili ampigie debe ili apeperushe tiketi ya CCM kwa nafasi ya Urais mwakani.
Hilo likitimia watanzania tutakuwa tunakumbushwa kauli iliyowahi kutolewa na EL wakati ule wa sakata ya Richmond, pale aliposema kuwa yeye na JK hawajakutana barabarani!
JK naye akamjibu mzee wa mamvi kuwa asiwe na wasiwasi kwani historia itamtendea haki na ipo siku yeye EL atakuwa 'huru' kutokana na skandali hiyo ya Richmond!
Hivi hiyo picha ni ya leo leo pale uwanja wa Taifa?
Nauliza hivyo, kwa kuwa taarifa zilizokuwa zimesambazwa mitandaoni, tuliambiwa EL, yupo Ujerumani ambako alikuwa amelazwa hospitalini, akiwa katika 'coma' baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa.
Kwa hiyo wenye taarifa 'deeper' (msamiati wa Sefue) tunaomba mtujuze.
Picha ya kutengeneza hii lowasa hakua jukwaa kuu,pia jukwaa kuu hawawez kaa kwa kubanana pia angalia picha ilivotengenezwa el hana miguu,
Lakini uliona alivyokaa naye karibu? Watu wengi tunajiuliza kuna nini hapa.Hakuna kitu kama hicho..
Hebu pitia taarifa humu kidogo tu, imechuja wakati kuna taarifa ya Baraza jipya la mawaziri? Unajua maana yake nini? Inahusiana na mabadiliko ya waziri mkuu. Ndiyo maana watu wanajiuliza, tulionyeshwa Waziri Mkuu mtarajiwa?hiyo cd ilisha chuja leo ni uchaguzi