mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Sasa nadhani hii ni too much.
Ni kweli rais alikuwa anatembelea kiwanda cha unga cha Bakhresa lakini hadi kuvalishwa koti lililoandikwa Azam Sembe na picha yake kusambazwa kwenye magazeti ni udhalilishaji mbaya kuliko ule wa kubembea kwenye michezo ya watoto Jamaica.
Hivi wapambe wake walishindwa kuwaambia viongozi wa kiwanda kumpa rais koti plain lisilo na maandishi?
Ni kweli rais alikuwa anatembelea kiwanda cha unga cha Bakhresa lakini hadi kuvalishwa koti lililoandikwa Azam Sembe na picha yake kusambazwa kwenye magazeti ni udhalilishaji mbaya kuliko ule wa kubembea kwenye michezo ya watoto Jamaica.
Hivi wapambe wake walishindwa kuwaambia viongozi wa kiwanda kumpa rais koti plain lisilo na maandishi?