Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 456
.........
Hatuna umeme kwahiyo access yetu ya facebook ni limited; Mgao wa umeme ni blessing in disguise kwa mkwere!!
Du I wonder how he is gonna do that is it real posiple????????Chonde chonde! He will blow out the whole facebook!
Na fb ilivyo nzr!! Tukiikosa itakuwa issue
Inawezekana kabisa!Du I wonder how he is gonna do that is it real posiple????????
Lets keep moving coz we are tired of him anywayInawezekana kabisa!
Wanajamvi mapambano bado yanaendelea ya kutafuta haki na usawa, FACEBOOK kuna page imeanzishwa ya kumtaka kikwete aresign, kama wewe ni member wa facebook endeleza mapambano kwa kulike hii page on the link below....... watu wakijoin wengi itasaidia kugain attention ulimwenguni na hatimaye mambo kubadilika
President Jakaya M. Kikwete MUST Resign | Facebook
View attachment 24466
Nina mashaka sana na wewe....... watu kama nyie mnashindwa kula hata mkate alafu ndio nyienyie mnakataa mabadiliko.......wewe wa wapi wewe!!!!!!!!!!!:blah:ray:
mkuu punguza jazba..................Inawezekana unachoongea ni kweli kwamba hata wali sijala nina miezi! Lakini unamdanganya nani kwamba kwa ku-sign up kwenye huo upuuzi wako ndo mimi na wanangu tutakula huo mkate unaousema? Mimi nitajikwamua kwa juhudi zangu mwenyewe na siyo kuhamasika kwenye vitendo vya kihaini, tena vya mtu aliyekata tamaa ya maisha yake na sasa anataka kujiegemeza kwenye matatizo ya nchi. Tupishe kule!
kikwete must resign period.