anaongea kuhusu wasaniii jamani sikilizeni huyu mtu ntapasua kijiredio hiki!
jamaa anaumwa na naomba clouds wakatishe mazungumzo... he is not ok na hiyo stammer si ya kawaida... please daktari wa kikwete omba "cut"
please!!!
Typical jei kei, might as well say aongeze guest house ili watu wengi wapate ajira ya uhudumu wa guest house! What a shame!Kikwete asema groceries zimeleta ajira ya wabeba masanduku ya bia na wafungua bia na soda
Namlaumu hando kwa aina ya maswali. Muda utaisha hivi hivi
Kikwete asema groceries zimeleta ajira ya wabeba masanduku ya bia na wafungua bia na soda