Elections 2010 Kikwete Live on Power Breakfast (Clouds FM)

Ha2taki kuckia barabr vp kuhusu mahela ye2 wanayokula watendaji wako?
 
amechakachua hili swali la barabara.... ni kasheshe tu!!! 10min stammering on roads, kuna barabara inaanzia morocco na kuelekea huko..
barabara inaanzia sayansi na kuelekea kulekulekuleleeee.... na ubongo kwenda barabara ya magomeni na ya morocco an,....na ...na ... ya ilala eh... I CANT FOLLOW MY PRESIDAA

Ulizeni daraja la kigamboni...
 
Jk kwa mtaji huu atajilaumu kwa nini hakufanya midahalo tangu awali. Haya mahojiano hayana taswira ya jana wala kikampeni bali ni status quo
 
jamani JK aibu . Eti magari yameongezeka ni maendeleo . Majumba yanapanda hadi angani .shamefull

Anaongelea kujenga barabara za Dar anatumia muda mrefu kuonyesha weakness za barabara za Dar. Barabara za Juu kwa juu fly overs. Ndoto za alinacha.
 
Yaani mie hata simuelewi huyu jamaa inainyesha utekelezaji wa ilani ya CCM ni jukumu la wananchi kujikamua na kuchangia na sio mipango ya serikali
 
nimemsikiliza anzia neno la kwanza mpaka sasa hivi nashindwa kumwelewa mh. Rais. (labda tatizo lipo kwangu)

Na hiki kigugumizi ni cha lini? He z seriously stammering!
 
Hizi habari za foleni za Dar es Salaam zinamsaidia nini mtanzania aliyeko kijijini? Haya maswali walitakiwa wamuulize mea wa jiji na rais aulizwe ya kitaifa zaidi.
 
kuanzishwa kwa public transport kutoka Tegeta hadi mjini robo saa, hajasema hayo magari ya public transport yatapita barabara zipi.
 
Haonyeshi kama ana kampeni . Anaongea kama wako kijweni . "Daladala inakuchomekea hapa na palee" what is this . Sasa najua kwa nini aliogopa mdahalo.
 
mi naona he isnt taking anything seriously, coordination ya majibu yake hovyo kabisa, yuko tu jumpy jumpy .....
 
Back
Top Bottom