Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,104
- 43,357
Kikwete atatembelea maeneo mbalimbali ya Dar kesho kuangalia matatizo ya maji yanayowakabili wananchi. Huu ni mwaka wa nne wa utawala wake na hatimaye amegundua Watu wa Dar wanamatatizo ya maji safi na maji machafu (usiniulize tofauti). Wananchi wanatakiwa kujitokeza "kwa wingi" ili kutoa "kero" zao kwa Rais - kwa mujibu wa RC Lukuvi.
Naweza kujua Rais ataahidi nini: "Serikali ina mpango madhubuti wa kutatua matatizo haya na wahisani mbalimbali wamekwishapatikana kusaidia ujenzi wa mitaro na utandazaji wa mambo mapya ili kuhakikisha wananchi wanapata maji safi".
Kwanini wakazi wa Dar wanapendeza wanapotoka out, mitaani, maofisini, kwenye sherehe na hata kwenye vyumba vyao lakini wamezoea kuzungukwa na uchafu na hawaoni kutopatana kwa hivyo viwili? NI kweli uchafu ni sehemu ya maisha yetu au ndio utamaduni wenyewe tunaouenzi na kuudumisha?
This is what transpired earlier today:
Naweza kujua Rais ataahidi nini: "Serikali ina mpango madhubuti wa kutatua matatizo haya na wahisani mbalimbali wamekwishapatikana kusaidia ujenzi wa mitaro na utandazaji wa mambo mapya ili kuhakikisha wananchi wanapata maji safi".
Kwanini wakazi wa Dar wanapendeza wanapotoka out, mitaani, maofisini, kwenye sherehe na hata kwenye vyumba vyao lakini wamezoea kuzungukwa na uchafu na hawaoni kutopatana kwa hivyo viwili? NI kweli uchafu ni sehemu ya maisha yetu au ndio utamaduni wenyewe tunaouenzi na kuudumisha?
This is what transpired earlier today:
Last edited by a moderator: