sambestman
Member
- Jan 2, 2012
- 38
- 18
Wadau nimesoma kwenye mitandao kuwa jk ataonana na muigizaji otomolo kutoka nigeria....mimi nadhani kwa hili tishio la mgomo wa madaktari bora anggeonana na madaktari kuliko huyo mwanamama ...wadau mnasemaje???
Wadau nimesoma kwenye mitandao kuwa jk ataonana na muigizaji otomolo kutoka nigeria....mimi nadhani kwa hili tishio la mgomo wa madaktari bora anggeonana na madaktari kuliko huyo mwanamama ...wadau mnasemaje???
Labda anaomba ushauri bana.......
Wow nakuombea na wewe uzae mtoto atayetaka kuwa daktari may be you may feel the pinch, endelea kubwabwaja ukiwa nje lakini ungekuwa hata na ndugu daktari wala usingethubutu kuongea haya.Madaktari wenyewe wanakataana na hivi ni sababu gani kumtishia nyau Rais wetu?
Acheni wagome dawa yao.ipo kwani wanaona heri wagonjwa wafe ili matakwa yao yafikiwe
Madaktari tuwasomeshe wenyewe na haohao watuue kisa nyongeza ya posho na gari?
Umemsomesha nani paka wewe,hivi unajuwa hata ada ya daktari usinitafutie ban,madai ya daktari sio magari fikiria kwa makiniMadaktari wenyewe wanakataana na hivi ni sababu gani kumtishia nyau Rais wetu?
Acheni wagome dawa yao.ipo kwani wanaona heri wagonjwa wafe ili matakwa yao yafikiwe
Madaktari tuwasomeshe wenyewe na haohao watuue kisa nyongeza ya posho na gari?