Wadau nimesoma kwenye mitandao kuwa jk ataonana na muigizaji otomolo kutoka nigeria....mimi nadhani kwa hili tishio la mgomo wa madaktari bora anggeonana na madaktari kuliko huyo mwanamama ...wadau mnasemaje???
labda hapahapa bongo coz mdada yupo kwa mwaliko maalum kutoka kwa msanii mwenzie wema sepetu.Ataonana naye wapi, Nigeria au hapa Bongo?
Ataonana naye wapi, Nigeria au hapa Bongo?
Madaktari wenyewe wanakataana na hivi ni sababu gani kumtishia nyau Rais wetu?
Acheni wagome dawa yao.ipo kwani wanaona heri wagonjwa wafe ili matakwa yao yafikiwe
Madaktari tuwasomeshe wenyewe na haohao watuue kisa nyongeza ya posho na gari?
hongera kwa kusomesha mkuu!hata mimi namsomesha mtoto wa jk huko ughaibuni.Madaktari wenyewe wanakataana na hivi ni sababu gani kumtishia nyau Rais wetu?
Acheni wagome dawa yao.ipo kwani wanaona heri wagonjwa wafe ili matakwa yao yafikiwe
Madaktari tuwasomeshe wenyewe na haohao watuue kisa nyongeza ya posho na gari?
Madaktari wenyewe wanakataana na hivi ni sababu gani kumtishia nyau Rais wetu?
Acheni wagome dawa yao.ipo kwani wanaona heri wagonjwa wafe ili matakwa yao yafikiwe
Madaktari tuwasomeshe wenyewe na haohao watuue kisa nyongeza ya posho na gari?
Acha akutane na msanii mwenzie
Wadau nimesoma kwenye mitandao kuwa jk ataonana na muigizaji otomolo kutoka nigeria....mimi nadhani kwa hili tishio la mgomo wa madaktari bora anggeonana na madaktari kuliko huyo mwanamama ...wadau mnasemaje???