chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
Katika uongozi haswa nafasi ya juu ya ukuu wa nchi muongozaji wa nchi kwa maana ya raisi huwa na mamlaka makubwa sana ila zaidi na zaidi mamlaka hayo ugawanyika katika sehemu kuu mbili mbazo ni HEAD OF STATE na HEAD OF GOVERNMENT.
Swali langu kwa wanaojua ndugu yetu raisi wa Muungano wa Tanzania amefanikiwa kumudu sehemu gani kati ya hizo mbili na madhara yake ni yapi kwa kule ambapo ameshindwa kupamudu
Naombeni msaada wana jamvini wa kueleweshwa zaidi
I humble submit .....
Swali langu kwa wanaojua ndugu yetu raisi wa Muungano wa Tanzania amefanikiwa kumudu sehemu gani kati ya hizo mbili na madhara yake ni yapi kwa kule ambapo ameshindwa kupamudu
Naombeni msaada wana jamvini wa kueleweshwa zaidi
I humble submit .....