sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
mwalimu hakuwahi kumpenda JK
Ila CCM walijifanya kimbelembele baada ya Mwalimu kufa, Alimjua na kunaviongoza alowajua aliwaita Mchwa Mmoja wao ni JK na Lowasa!
Nilisikia kwenye moja ya Hotuba Zake
mwalimu hakuwahi kumpenda JK
Mwalimu alitulisha unga wa Yanga, wengi wenu mlikuwa hamjazaliwa!
Wakati Nyerere anamkabidhi Mwinyi madaraka, pale Moshi kulikuwa na viwanda vifuatavyo vikifanyakazi kwa zaidi 50% ya uwezo wake
Leo hii ni viwanda vingapi vinafanya kazi na vinaajiri watu wangapi ukilinganisha na 1985? Huu mfano ni kwa wilaya moja ya Moshi
- Moshi Tanneries
- Tanzania Bag Corporation - Mill 1 and Mill 2
- Kiltimbers
- Moshi Plywood
- TBL
- Moshi Textiles
- Coffee Curing
- Kibo Match Corporation
- Kibo Paper
- National Milling
- TWICO Imara Furniture
- Kilimanjaro Machine Tools
- Babu Mkate
"MWELEVU hujifunza kupitia makosa ya wengine, MPUMBAVU Hujifunza kupitia Makosa yake mwenyewe" BY SEKULU
Ni kweli kwani aliyejenga chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa atakuwa Nyerere au Mwinyi! Akili za kushikiwa hizo watoto!
Mwalimu alisababisha watu wavae magunia na matairi
Ni kweli kwani aliyejenga chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa atakuwa Nyerere au Mwinyi! Akili za kushikiwa hizo watoto!