Kikwete fails to convince Canadian media on Serengeti Highway plans

Barabara ikijengwa itajengwa Tanzania, itakatiza kwenye mbuga ya Tanzania, na itatumiwa na asilimia kubwa ya Watanzania...

Kwanini wanausemea moyo wetu? Pambaf Kenyans na donors waliofilisika...

Hakika nakuambia. Kuharibu Serengeti kwa sababu tu ya kuwakomoa waKenya ni sawa na kunyea kambi.

Ninapata wasiwasi kuwa wachangiaji wengi wanaoshabikia hii barabara hawana uelewa wa Serengeti ni kitu gani. Labda wanaiona kama ni sehemu tu yenye wanyama hatari wanaozuia mtu kukatiza kwa mguu kwenda kutafuta bia

Sasa angalia. Mungu katupa hiki kitu adimu lakini tunataka kukiharibu kwa udhi na uvumba.
 
Hakika nakuambia. Kuharibu Serengeti kwa sababu tu ya kuwakomoa waKenya ni sawa na kunyea kambi.

Ninapata wasiwasi kuwa wachangiaji wengi wanaoshabikia hii barabara hawana uelewa wa Serengeti ni kitu gani. Labda wanaiona kama ni sehemu tu yenye wanyama hatari wanaozuia mtu kukatiza kwa mguu kwenda kutafuta bia

Sasa angalia. Mungu katupa hiki kitu adimu lakini tunataka kukiharibu kwa udhi na uvumba.

Sidhani kama haja ya kujenga ile barabara ni kuwakomoa wakenya ama wazungu...la hasha!! Isipokuwa Wakenya ama hao ma caucasians wasitushurutishe...Tanzania ni taifa huru, na ina uhuru na mamlaka kamili ya kujiamulia mambo yake yenyewe bila ya kuingiliwa na mataifa mengine.

Yawezekana kabisa Kikwete alishindwa kuwa convince hao; lakini kama tuna sababu ya msingi..tushikilie msimamo wetu na tufanye mambo yetu.

Hivi mnakumbuka wakenya walitushtaki tulipotaka kuuza yale meno ya tembo ambayo tuliyakamata toka kwa majangili na wawindanji haramu...? na tukashindwa ile kesi (kama nakumbuka vyema)..na hadi leo ile hazina bado ipo?

Sasa kwa hili walichobaki ni kupiga domo....hawawezi kushtaki popote. Ndo mana nasema..kama tuna sababu ya ndani ya kuzuia ujenzi huo na tuitumie...lakini isiwe shinikizo la mataifa mengine!!
 
Halafu hiyo njia mkiipiga vibaya itakuwa mpaka wenu na kenya.Na mkiwaboa wanyama watakuwa wakibaki kenya.nahdnai Kikwete biashata ya hoovyo wakapige nje aya vumbi kufuata mpaka kwa ajili ya border patrol+hiyo ya changarawe nzuri kukatiza hapo.

Kuna barabara nyingi tuu hamjawaweza ziweka sawa.Kama kwa nini mtu akitoka Tanga apitia Segera na si kukatiza katikati n akuja kutoke katikati halafu kuunganisha morogoro kwa kupitia Handeni?Hii ingepunguza safari ya kutokea Mombasa ,tanga kwenda Moro,Dodoma, iringa hadi Mbeya. Zaidi ya huu ujinga wa ku disturd wanyama na maliasili nyingine huku kuweka uwezekano wa wakenya kuchukua kipande kinachobaki na wanyama wake.

Aisee labda uko ughaibuni au jela..........kwa sasa barabara ya Korogwe-Handeni-Turiani-Mvomero-Kilosa-Mikumi iko katika matengenezo makubwa ikijumuisha Handeni-Mkata kuondoa hiyo kero yako........Thanks to the then Finance minister and MP for Kilosa Mustafa Makunganya Mkullo
 
Aisee labda uko ughaibuni au jela..........kwa sasa barabara ya Korogwe-Handeni-Turiani-Mvomero-Kilosa-Mikumi iko katika matengenezo makubwa ikijumuisha Handeni-Mkata kuondoa hiyo kero yako........Thanks to the then Finance minister and MP for Kilosa Mustafa Makunganya Mkullo

Okay, ni vyema basi,ila hujajibu hilo wazo lingine la kupitisha njia vibaya halafu kenya wachukue pieace iliyobaki halafu baadaye muanze tafuta ushahidi baada ya miaka kama malawi.Na mjue mkiharibu level ya mpaka na Kenya wamekuwa systematic ktk kuiambia dunia mlima kilimanjaro upo kenya, na hata mpoto kwa ujinga au kwa vitu vilivyofichika kasoma mashairi yenye kusema hayo yote, basi wakenya watajisogeza hadi kilimanjaro na vita si muda hatutowaweza wakenya.Kuanzia propaganda hadi vita ya makombora.
 
Halafu hiyo njia mkiipiga vibaya itakuwa mpaka wenu na kenya.Na mkiwaboa wanyama watakuwa wakibaki kenya.nahdnai Kikwete biashata ya hoovyo wakapige nje aya vumbi kufuata mpaka kwa ajili ya border patrol+hiyo ya changarawe nzuri kukatiza hapo.

Kuna barabara nyingi tuu hamjawaweza ziweka sawa.Kama kwa nini mtu akitoka Tanga apitia Segera na si kukatiza katikati n akuja kutoke katikati halafu kuunganisha morogoro kwa kupitia Handeni?Hii ingepunguza safari ya kutokea Mombasa ,tanga kwenda Moro,Dodoma, iringa hadi Mbeya. Zaidi ya huu ujinga wa ku disturd wanyama na maliasili nyingine huku kuweka uwezekano wa wakenya kuchukua kipande kinachobaki na wanyama wake.

Acha Pumba wewe kubwa zima hovyooooo
 
Acha Pumba wewe kubwa zima hovyooooo

Hadi nashtuka.....wewe ni janga la binadamu.Hivi wewe ni binadamu au software robot?kwani ndio huwa inajibu msg ilele kwa vitu vyote isivyovielewa.Pumba zipi sasa?
 
hebu tuzungumzie uhamaji wahawa wanyama na barabara hiyo ,hebu tuangalie athari za kujenga barabara ndani ya hifadhi inayotambulika kimataifa ,naamini kuna njia njia nyingine ya kupata barabara ya kufika musoma bila kuleta athari yeyote sio tu kwa wanyama bali pia sehemu nyingine .
 
Bado Uganda Zambia na Msumbiji. Maana tumeshaona Malawi na sasa inaanza Kenya. Juu ya JK tutabakiza mikoa 10 tu ukichanganya na uuzwaji wa maeneo kama kigamboni.
 
kama hajawahi ona hasara za wateule wa UAE wakiua wanyama bila kujali uzao wa wanyama.Ataona vipi kuwa hao wanyama wakenya wakipa loohole wanaweza hata washika wa kutosha na kuwahamishia mbuga nyingine kila mwaka ,na hiyo barabara ikiwekwa vibaya tuu wanavuta kipande, zile katani na mawe wananyofoa na ukizingatia sisi hatuna hta border patrol serious.mwishowe wanasogeza level hadi ilipo Kili,mpaka sasa waeweza washawishi ni yao.Sisi akili yetu ni kuwa wanata tuibia watalii,bila kujua kenya walishahi kuwa na claim ya wazi kabosa kuwa mlima ni wao kama mali yao against us.

Dhifu anachez amakida.Sijui kalaaniwa ili aje bomoa taifa kam Goberchov?Sasa zanzibar wanachukua chao, wawekezaji aka waporaji wanchukua chao, Loliondo sasa hivi ni kama nchi ya waarabu kabisa, Aghakhan naye anayo maeneo yaliyopo chini ya himaya yake kabisa kama nchi huu na ulinzi wa mitambo ni wa kutisha,Wamalazi nao hivyo hivyo.Tunasubiri tuu siku ziende msumbiji mamluki wetu waondoke aje kiongozi mkali achukue ruvuma, siku si nyingi burundi na wanyarwanda wakiondoka viongozi waliopo busy na maendeleo ya nchi waje wenye nia ya kupanua nchi watakuwa wameshajiwekea mipak ya kutosha ngara yote.Nahurumia wahaya watakwenda wapi uganda au Rwanda?Warombo nao wakivutia na soko la mpakani kenya ambalo ndilo limekuwa na faida sana kwao wanaweza amua affiliate na kenya.

RIP dhaifu
 
Mimi napinga kabisa huu ujenzi kwani hauna tija kwenye sekta ya utalii,hao wanakuka kutalii huku wanatakiwa kuzoe mazingira wanayoyakuta,hatutakubali kuharibu natural yetu kwa ajili ya hayo matakwa yao,hii kampeni anayopigania kikwete ni kwa ajili ya hoteli yake inayoitwa bililah hakuna zaidi,hakuna watu watakaotumia hiyo njia kwani vipaombele vyakuweka lami ni ufikaji wa wakazi na mazao.sasa huko inakopita barabara hakuna mazao yoyote zaidi ya dagaa kutoka musoma.watanzania ambao hamjui kwanini mkuu anapigania hiyo barabara ni haki yenu kufanya uchunguzi au mpewe sababu.napinga lami kwenye mbuga ya wanyama wetu tunaharibu uhasilia wake.
 
Mimi napinga kabisa huu ujenzi kwani hauna tija kwenye sekta ya utalii,hao wanakuka kutalii huku wanatakiwa kuzoe mazingira wanayoyakuta,hatutakubali kuharibu natural yetu kwa ajili ya hayo matakwa yao,hii kampeni anayopigania kikwete ni kwa ajili ya hoteli yake inayoitwa bililah hakuna zaidi,hakuna watu watakaotumia hiyo njia kwani vipaombele vyakuweka lami ni ufikaji wa wakazi na mazao.sasa huko inakopita barabara hakuna mazao yoyote zaidi ya dagaa kutoka musoma.watanzania ambao hamjui kwanini mkuu anapigania hiyo barabara ni haki yenu kufanya uchunguzi au mpewe sababu.napinga lami kwenye mbuga ya wanyama wetu tunaharibu uhasilia wake.

Kuna tafiti nyingi sana zinafanyika zenye faida ya muda mrefu kama au zaidi ya utalii.Kuna tafiti nyingi za kihistoria ,kibaologia, na ki ecologia zinazofanyika pale na zinahiataji mazingira yaliyo ya kihasilia iwezekanavyo.barabara ina impact kubwa sana kwa wanyama ,binadamu, dunia na hata tamaduni na siasa.

Wazanzibar walikuwa wakikimbilia bomoa na kukarabati nyumba mji mkongwe bila sababu wakati wana mapori kibao visiwani kote.Haya mapori wangeweza jenga miji ya kisasa yenye barabara za kuweza pitika kwa magari na kuleta hewa nzuri.Walikomaa na haya yote hadi walipobanwa kisheria.Sasa wana enjoy utalii huku wakijenga uweo wa kuitazama historia kupitia utaalamu wa ndani na si kutegemea watu wa nje ambao kwa kiasi fulani wanaweza weka vionjo vyao.Hata hivyo wazazibar wana mwend mrefu kuwa huru kifikra.
 
Hii issue imeishaibua mijadala mingi sana, kila mtu na mtazamo wake, hadi akina Dr. Jane Goodall nae wakaingia, mwisho wa siku, mm bado nauliza, ile barabara ya Mikumi inaathiri vipi wanyama? Kama haifai pale mikumi basi hata hii ya serengeti haitafaa pia!
 
Hadi nashtuka.....wewe ni janga la binadamu.Hivi wewe ni binadamu au software robot?kwani ndio huwa inajibu msg ilele kwa vitu vyote isivyovielewa.Pumba zipi sasa?


Ujue Mapunga kama wewe humu JF ndio huwa mnawasababishia watu ban,Utasemaje eti hiyo barabara ikijengwa ndo itakuwa mpaka wetu na Kenya? Acha Pumba try to engage your brain before writing anything
 
Halafu hiyo njia mkiipiga vibaya itakuwa mpaka wenu na kenya.Na mkiwaboa wanyama watakuwa wakibaki kenya.nahdnai Kikwete biashata ya hoovyo wakapige nje aya vumbi kufuata mpaka kwa ajili ya border patrol+hiyo ya changarawe nzuri kukatiza hapo.

Kuna barabara nyingi tuu hamjawaweza ziweka sawa.Kama kwa nini mtu akitoka Tanga apitia Segera na si kukatiza katikati n akuja kutoke katikati halafu kuunganisha morogoro kwa kupitia Handeni?Hii ingepunguza safari ya kutokea Mombasa ,tanga kwenda Moro,Dodoma, iringa hadi Mbeya. Zaidi ya huu ujinga wa ku disturd wanyama na maliasili nyingine huku kuweka uwezekano wa wakenya kuchukua kipande kinachobaki na wanyama wake.

Inasemekana kuwa kajenga hotel kubwa sana ya kitalii Serengeti ndio maana anashupalia barabara ipite ktk mbuga za wanyama. Ni mikoa mingapi inahitaji barabara za lami na bado hakuna mpango wa kuzijenga? Anataka kuweka mbuga zetu rehani kwa sababu tu ya biashara zake. Barabara ya lami kupita ktk mbuga za wanyama ni kuwakimbiza wanyama na pia kuongeza ajali kwani wanyama wengi sana watakuwa wanagongwa na magari. Huyu jamaa hafiriii kabisa.
 
Ujue Mapunga kama wewe humu JF ndio huwa mnawasababishia watu ban,Utasemaje eti hiyo barabara ikijengwa ndo itakuwa mpaka wetu na Kenya? Acha Pumba try to engage your brain before writing anything

Hizo ndizo lugha hata wazazi wenu wanapokula kashata huzitumia.Kwenu punga kitu kikubwa sana.Hata hao mliowapa hayo majina ni fahari yenu.Mmelaaniwa sana mtajidai kuwa ushoga si tamaduni yenu hadi mwishowa dunia ila mnuishi kwa vitendo.

kama hujafuatilia postings zangu si ungeuliza tuu au rudia uweze pick?Kukusaidia tuu nimekuambia kama umbali na mpaka utakuwa si wa kuridgisha na pawe na nyingine inayopitia mpakani kabisa.Kuna uwezekano wakenya wakafany amambo tukija amka imekula kwetu.Matusi ya nini sasa.kwani ni mara ya kwanza kenya kusema waziwazi wanataka mlima, na sehemu nyingi za nchi?Mpaka wa taveta na kwingine kumekuwa ktk mogogoro miaka mingi sana tangu kipindi ch amkoloni hadi Nyerere alipozimisha.Hadi leo Wakenya nipo nao wanafanya attempt nyingi sana za kurudi claims mali za TZ.

Tatizo za story za magengeni, vijiweni na elimu za alternative to practical ndizo zinawafanya muwe kama mlivyo.Mnakaa na kina dhaifu dar mnaandika sera kama vile mnaujua utalii.Ndio maana kila kukicha mnawatia kichefuchefu watu wa utalii wa Kaskazini.Wale watu wanaujua utalii ndio maana wameendeleza nchi, na mpaka wao bado haujamegwa kama mikoa mingine.Kaskazini wanajua vyema ardhi inavyoporwa kwani ndio matatizo yaliyojaza mahakama zao.Naongea ninachokijua wala sia laternative to practical.
 
Inasemekana kuwa kajenga hotel kubwa sana ya kitalii Serengeti ndio maana anashupalia barabara ipite ktk mbuga za wanyama. Ni mikoa mingapi inahitaji barabara za lami na bado hakuna mpango wa kuzijenga? Anataka kuweka mbuga zetu rehani kwa sababu tu ya biashara zake. Barabara ya lami kupita ktk mbuga za wanyama ni kuwakimbiza wanyama na pia kuongeza ajali kwani wanyama wengi sana watakuwa wanagongwa na magari. Huyu jamaa hafiriii kabisa.

Bilila Kempiski ni hotel nzuri ila si ecofriendly.Hawa wakwere wanadhani hawajui wale ni wanyama pori na serengeti ni dunia yao yenye kila kitu wanachohitaji ili maisha yao ya kila siku na ya vizazi vyo vijavyo viendelee.Kuingi kwa binadamu wa mjini ni kuingilia dunia yao na kutawalazimisha kuend atafuta maisha pengine.Sasa kwa kili ya huyu ****** na waume zake wa Uarabuni wandhani wakipafanya mji wanyama wata enjoy.Sisi ndio tumefuata dunia ya wanyama na kukmbi aya kwetu sasa kuibadili dunia yao ndio kutaleta vipi sense.

Kuna mchoro fulani niliwahi ona wanyama wakiwa katk Jeep wakitumia viona mbali kumwangalia bindamu aliyechoka akiishi ktk dunia aliyokwisaha iharibu na hakun ahta mti mmoja wa kujipumzisha.Katika picture binadamu wamekuwa rare creatures.m.k.w.e.r.e.ee kama hajaweza elimisha wenza kilimo cha korosho, miwa hata migomba, vipi ataeleilimisha masai alieyishi karne nyingi na wanyama ngorongoro, serengeti huku akifunga ngombe zake?

Hotel wajengazo huwa hazivutii sana wazungu, ndio maana hotel nyingi za dar na mikoa ya kusini hazivutii watu zaidi ya wacheza ndombolo wa magamba.Dara ni mji wa kitalii ila hakuna utalii unaofanyika.Na watu wengi wameomba kazi ktk wizara na board ya utalii ili waje geuza dar kuwa ya kitalii ila ujinga wa CCM hauachii hayo.Na hat wakianzisha bado wataharibu tuu,na kuishia kuwa kijiwe cha wanganga njaa wengine tuu.
 
Binasfi sisapoti kujengwa kwahiyo highway sababu itavuruga movement ya wanyana. Kenya Masai Mara imejaa mahoteli kiasi kwamba hata wanyama this year wamekaa wiki 3 wamerudi Serengeti badala ya kukaa miezi 3. Wakenya natinal parks zao wanaziaribu sasa wanataka kuhamia Serengeti.
 
Back
Top Bottom