Kikwete fails to convince Canadian media on Serengeti Highway plans

Serengeti ni among World Natural Wonders mzee,au hajawahi fika maana sisi wabongo utalii wetu ni Baa baada ya kazi!!!

Mkuu, ondo shaka, huko sisi wengine ndo kwetu,k wa hiyo kila trip ya nyumbani tunapita mbugani na kufanya utalii mkuu!
Pili, revisit source zako, Serengeti haijawahi kuwa natural wonders, Serengeti ni one of the World Heritage Sites as recognized by UNESCO!!!. Piga hii link upate uelewa zaidi mkuu, List of World Heritage Sites in Africa - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Hakika nakuambia. Kuharibu Serengeti kwa sababu tu ya kuwakomoa waKenya ni sawa na kunyea kambi.

Ninapata wasiwasi kuwa wachangiaji wengi wanaoshabikia hii barabara hawana uelewa wa Serengeti ni kitu gani. Labda wanaiona kama ni sehemu tu yenye wanyama hatari wanaozuia mtu kukatiza kwa mguu kwenda kutafuta bia

Sasa angalia. Mungu katupa hiki kitu adimu lakini tunataka kukiharibu kwa udhi na uvumba.

Mimi naona sisi kama nchi ndio tuamue - tukisema faida ni kubwa kuliko madhara basi na watusikilize. Mungu aliumba Dunia, na awali wanyama walitapakaa Dunia nzima, je huko kwao waliwapeleka wapi?
Hakuna project iliwahi pingwa kwa nguvu na Westerners kwa misingi hiyo hiyo km The Three Georges project ya China lkn sasa hivi kila mtu anajua ilivyoinua Uchumi wa China kupita hata uchumi wa Canada kwa mbali. Faida imezidi madhara kwa mbali.
Wazungu daima watapinga ama distract wanapoona umeona njia - wangekua na mazuri kila siku basi uchumi wa dunia usingeanguka.
 
Nimekuelewa mzee,but it is the world natural wonder although it is not documented,au wewe unalionaje hilo kulingana na unavyoifahamu hiyo reserve au mpaka wazungu waseme/wavumbue kama Livingstone,Olduvai gorge,Ngorongoro crater etc,etc,etc...!!!
Mkuu, ondo shaka, huko sisi wengine ndo kwetu,k wa hiyo kila trip ya nyumbani tunapita mbugani na kufanya utalii mkuu!
Pili, revisit source zako, Serengeti haijawahi kuwa natural wonders, Serengeti ni one of the World Heritage Sites as recognized by UNESCO!!!. Piga hii link upate uelewa zaidi mkuu, List of World Heritage Sites in Africa - Wikipedia, the free encyclopedia
 

Hiyo Barabara ya kupitia SERENGETI Investors ni WACHINA; Wachina ni VIFISADI; na Mikataba yao MINGI ya Makampuni yao ni Government Owned Companies; Kwahiyo Ukiingia Mkataba kama ule waliotoa MKOPO wa kujenga a PIPELINE from MTWARA to DAR; It is Chinese Government hence kama tukishindwa kulipa wao hawafuati MASUALA ya WORLD BACK or INTERNATIONAL TRADES AGREEMENTS watataka KUPEWA MAENEO kama ya GOLD; URANIUM n.k

Sasa, barabara inayopita a little SOUTH; WORLD BANK na GERMANY GOVERNMENT wako tayari kuijenga na hiyo Barabara intapita Maeneo WATU WENGI Wanapoishi na Hakuna Utofauti sana Wa Masaa kama Wakiweka hiyo Barabara kupitia MBUGA za SERENGETI...

Ni kwanini RAIS WETU Hawezi kusema chochote HAPANA; Safari zake ZOOOTE ni MAUZO ya AJABU haya ana SAFARI ya MASCAT; ndio huko WAZENJI-OMAN wako wengi na wanapesa; ni nini watataka Nchini kwetu????

143696.gif
 

Hiyo Barabara ya kupitia SERENGETI Investors ni WACHINA; Wachina ni VIFISADI; na Mikataba yao MINGI ya Makampuni yao ni Government Owned Companies; Kwahiyo Ukiingia Mkataba kama ule waliotoa MKOPO wa kujenga a PIPELINE from MTWARA to DAR; It is Chinese Government hence kama tukishindwa kulipa wao hawafuati MASUALA ya WORLD BACK or INTERNATIONAL TRADES AGREEMENTS watataka KUPEWA MAENEO kama ya GOLD; URANIUM n.k

Sasa, barabara inayopita a little SOUTH; WORLD BANK na GERMANY GOVERNMENT wako tayari kuijenga na hiyo Barabara intapita Maeneo WATU WENGI Wanapoishi na Hakuna Utofauti sana Wa Masaa kama Wakiweka hiyo Barabara kupitia MBUGA za SERENGETI...

Ni kwanini RAIS WETU Hawezi kusema chochote HAPANA; Safari zake ZOOOTE ni MAUZO ya AJABU haya ana SAFARI ya MASCAT; ndio huko WAZENJI-OMAN wako wengi na wanapesa; ni nini watataka Nchini kwetu????
Mkuu mbona wajikanganya na mada?
Tupe route zote, hiyo ya south kama unvyosema na hiyo ambayo hamuitaki.

Watu mnakuwa kidogo wepesi wa kusahau, mnafikiri wazungu ndio wana best interests zenu.

Mnasahau kuwa hata Tazara wazungu hao hao na World Bank waliipinga sana kiasi cha kuamua kutoa mkopo fasta wa kujenga barabara kuliko kujenga reli.

Tunaojua tunachotaka ni sisi watanzania na si wao.

Ni mtu mbumbumbu tu anaweza kufikiri namna ya kuongozwa na watu wa West.
Wachina hawakwepeki dunia ya leo, and thats a fact. Ninyi huku mnawapiga vita lakini huko ulaya wachina hao hao wananunua viwanda kibao, kw pochi waliyonayo.

Think before you write.
 
Mkuu mbona wajikanganya na mada?
Tupe route zote, hiyo ya south kama unvyosema na hiyo ambayo hamuitaki.

Watu mnakuwa kidogo wepesi wa kusahau, mnafikiri wazungu ndio wana best interests zenu.

Mnasahau kuwa hata Tazara wazungu hao hao na World Bank waliipinga sana kiasi cha kuamua kutoa mkopo fasta wa kujenga barabara kuliko kujenga reli.

Tunaojua tunachotaka ni sisi watanzania na si wao.

Ni mtu mbumbumbu tu anaweza kufikiri namna ya kuongozwa na watu wa West.
Wachina hawakwepeki dunia ya leo, and thats a fact. Ninyi huku mnawapiga vita lakini huko ulaya wachina hao hao wananunua viwanda kibao, kw pochi waliyonayo.

Think before you write.

143696.gif
 
Safi sana mkuu kwa kuweka kielelezo, lakini kwa argument hiyo hiyo TAZARA inayopita Selous Game Reserve isingejengwa , wala barabara ya DSM-iringa-Mbeya inayokatiza Mikumi National Park vile vile isingejengwa.

Madhara ya maendeleo hayo kwa wanyama yataendelea kuwa ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia.
 
Huyo mzee wa kucheka cheka kama shoga tunajua anapigania hiyo barabara kwakua inapita kwenye hoteli yake aliyojenga kwa kodi zetu inaitwa bilila.kwanini asijenge barabara ya kuanzia mangola,kunakolimwa vitunguu bora kabisa abavyo hupelekwa mpaka ulaya,alafu hiyo barabara inaunganisha watu na vijiji vingi vya kanda ya ziwa,tofauti na hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa inapita kwenye mbuga ya wanyama ambako hakuna shughuli za kilimo wala uzalishaji.wazungu kinacho wavutia kwenye mbuga zetu ni ule uhalisi wake,hawataki lami,lami huko kwao wameshaizoea mpaka wamechoka.huyo kikkweete utakuta waarabu washa mpa mlungula ili wanapoiba wanyama wetu wawasafirishe kwa urahisi.
 
Huyo mzee wa kucheka cheka kama shoga tunajua anapigania hiyo barabara kwakua inapita kwenye hoteli yake aliyojenga kwa kodi zetu inaitwa bilila.kwanini asijenge barabara ya kuanzia mangola,kunakolimwa vitunguu bora kabisa abavyo hupelekwa mpaka ulaya,alafu hiyo barabara inaunganisha watu na vijiji vingi vya kanda ya ziwa,tofauti na hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa inapita kwenye mbuga ya wanyama ambako hakuna shughuli za kilimo wala uzalishaji.wazungu kinacho wavutia kwenye mbuga zetu ni ule uhalisi wake,hawataki lami,lami huko kwao wameshaizoea mpaka wamechoka.huyo kikkweete utakuta waarabu washa mpa mlungula ili wanapoiba wanyama wetu wawasafirishe kwa urahisi.

Southern Route is the Best
 
Back
Top Bottom