Acha unafki na wewe kwamba hajua chazo ni nin,eti kashtukizia watu wanagombania kuchinja,umjue ni mnafki anasema'hili jambo nililiona toka muda mrefu nikalisema',sasa how come hajui chanzoAcheni chuki binafsi kipi kibaya alichokisema kilichowauma?
huyu jamaa kila ki2 hajui,yawezekana hata hajui alivyoshinda urais.
Kwa akili yako hiyo huwezi kujua mapungufu ya mwenyekiti wako labda ukamwite sheikh yahaya....Acheni chuki binafsi kipi kibaya alichokisema kilichowauma?
akiongea katika shrehe za mei mosi rais kikwete amrsema hakuna anayejua chanzo cha udini hapa nchini
pengine alikuwa anawajibu wale wanaodai yeye ni kinara na mhasisi wa udini, na wenzake akina mwigulu ambao wanadai chadema ndiyo chanzo
wewe unaejua chanzo hebu tueleze ilivyokua.Acha unafki na wewe kwamba hajua chazo ni nin,eti kashtukizia watu wanagombania kuchinja,umjue ni mnafki anasema'hili jambo nililiona toka muda mrefu nikalisema',sasa how come hajui chanzo