Kikwete bila Lowassa ndiyo maana amepwaya!?

...Kwani Huyu wa Sasa Mlikuwa Mnawasikia watoto na mama watoto wake kabla Yeye hajaukwaa Ukulu?? Kilichofuata Baada ya yeye Kuukwaa Ukulu? Hata Mtoto wake wa Miaka Sijui 10 ni MWENYEKITI wa Chipukizi! Unahakikishaje kwamba Huyu naye Hatakuwa Hivyo?? Punguzeni Mahaba kwa Mtu kiasi cha Hata Kushindwa Kujiuliza Maswali ya Kawaida kabisa....!

Ndiyo....fred lowasa.....
 
umepewa Shilingi ngapi hadi unapost uzushi huu?, wewe hujui kikwete angekuwa rais wako hata kabla ya mkapa? na kipindi hicho lowasa alikuwa nani? kwani tayari kikwete alikuwa nakubalika toka enzi za mwalimu na alishapita kwenye kura za maoni ila kwa sababu busara ya mwalimu nyerere ilitaka mkapa apewe zawadi kwa sababu alikuwa mtu wake wa karibu basi ndo ikawa hivyo lkn Jk alikuwa na mvuto hata kabla ya mkapa, sasa nakushangaa unavosema eti lowasa alimbeba JK, huna unalojua ila inayoongea hapo ni nguvu ya tumbo.
Unajua ni nani alikodi ndege waliyotumia Kikwete na Lowassa kwenda Dodoma. Wewe ulikuwepo Chimwaga 1995? Unajua nguvu ya mwalimu aliyoitumia kumuondoa Lowassa kwenye mbio za Urais Mwaka 1995. Soma kitabu cha "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" ndiyo unajua ni kwa nini mpaka leo Mzee John Samuel Malecela nyota yake ya kisiasa imefifia!!
 
Unajua ni nani alikodi ndege waliyotumia Kikwete na Lowassa kwenda Dodoma. Wewe ulikuwepo Chimwaga 1995? Unajua nguvu ya mwalimu aliyoitumia kumuondoa Lowassa kwenye mbio za Urais Mwaka 1995. Soma kitabu cha "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" ndiyo unajua ni kwa nini mpaka leo Mzee John Samuel Malecela nyota yake ya kisiasa imefifia!!
Hivi wewe unajua kukodisha ndege ni kazi sana au vipi, tena hasa kwa waziri wewe unafikiri kikwete atashindwa kukodisha ndege kutoka dar hadi dom? kwa taarifa yako hata mfanyakazi mmoja peke yake anaweza kukodisha ndge ndo ije iwe waziri, mimi nijuavyo wote walikuwa na interest moja ya kugombea urais kwani wote walichukua fomu za maombi na kukodisha ndege moja ni kitu cha kawaida mtu na rafiki yake kudonate ili kupunguza gharama sasa wewe unamuona kikwete maskiiiiiiiiiini na kwamba analipiwa nauli na lowasa fungua mamcho mzee, wote waligombea kipindi kile lkn aliyeibuka kidedea alikuwa jk. sasa wewe umesimuliwa nini?
 
Lowasa hazuiliki ata kwa nini mungu akipanga amna wa kuzuia lowasa yupo makini na ni mtu wa kuwa na 2option
 
Lowasa hazuiliki ata kwa nini mungu akipanga amna wa kuzuia lowasa yupo makini na ni mtu wa kuwa na 2option

...Duh! kwa hiyo Mkuu huyu naye tayari 'Mungu Kapanga' kama yule mwenzake alivyokuwa 'Chaguo la Mungu'??? Kweli Watanzania Tuna Kazi...!
 
Kwa hiyo ikitokea Lowasa amekufa kwa bahati mbaya sasa TZ tutakaa bila rais baada ya huyu aliyepo. Watanzania kwa kununuliwa hatujambo??. Mmenunulia huko kwenye chaguzi zetu na huku mnaleta mihemuko yenu. Eti bora kiongozi fisadi! dha!. Nchi imetumbukia kwenye matatizo sababu ya Rushwa ya mikataba mibovu leo hii tunahusudu Fisadi! HAki ya nani Pesa Mwanaharamu. Tunahusudu ujambazi wa Lowasa katika nchi hii kwa maslahi binafsi. Eti ana maamuzi magumu! ''''''''--nzi type. Maamuzi yaliyojaa mashaka matupu na busara duni eti maamuzi magumu! Na wewe Mleta uzi huu umekodishwa na hawa maharamia wa EPA. Tulikuwa tunalazimishwa kuchangia madarasa na madawati nahuyu taahira huku wakiwa wamekomba pesa za EPA na walipoona mambo magumu wakampoteza Balali halafu unakuja na hewala bwana. Pole!! Kajipange upya!!
 
kwa nini mumfagilie mtuhumiwa mkuu wa ufisadi?hivi Tz imekosa watu makini kweli kwanza aje atuombe radhi kwa kutuingiza kwenye mkenge wa dowans na Richmond
"Matatizo tuliyo nayo leo hii yametokana na huu mtandao ulioasisiwa na Kina Lowasa na JK.Leo hii wapuuzi wengine wanatuaminisha kuwa EL ndio muarobaini wetu.

Naomba nipate majibu yafuatayo:

1:Ile hela iliyowekwa kama "Bond" na City water ilikwenda wapi?
2:Je,ni kweli walifukuzwa kwa kuto perform ,au ni kwasababu kiwanda cha kina EL cha mabomba kilipigwa chini ,kusupply mabomba na hao city water?

Kuna mabo mengi sana ya kujiuliza juu ya mtu huyu anayetumia fedha nyingi kujisafisha.

Tumeishapoteza miaka kumi.Hatuhitaji tena miaka mingine kumi.

Mfumo uliopo wa CCM ni laazima uondoke kuianzisha upya Tanzania Mpya.Ushabiki unaoletwa leo,ndio huuhuu walioingia nao wakati wa JK.Wakipata madaraka wanaanza kurudisha fedha zao badala ya kujali wananchi.
Kwa mtizamo wangu huyu jamaa aliisha poteza fedha nyingi kwenye siasa ,kwa hiyo anataka kuzirudisha ,kwa njia ya mikataba feki.

wao kama wanamtandao waliisha pata nafasi ambayo wameichezea,hatuhitaji kufanya majaribio upya.Muda hautusubiri.
 
Back
Top Bottom