Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,131
- 26,625
...Kwani Huyu wa Sasa Mlikuwa Mnawasikia watoto na mama watoto wake kabla Yeye hajaukwaa Ukulu?? Kilichofuata Baada ya yeye Kuukwaa Ukulu? Hata Mtoto wake wa Miaka Sijui 10 ni MWENYEKITI wa Chipukizi! Unahakikishaje kwamba Huyu naye Hatakuwa Hivyo?? Punguzeni Mahaba kwa Mtu kiasi cha Hata Kushindwa Kujiuliza Maswali ya Kawaida kabisa....!
Ndiyo....fred lowasa.....