Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Ndugu wanaJf, Leo mh. Jk yupo Dodoma ktk kuhudhuria sherehe za kusimikwa Uaskofu mpya wa dom askofu Gervas Nyaisonga. Alipopata fursa ya kuzungumza, mh. Aliwataka viongozi wa dini kuwasihi na kuwaasa wanasiasa kuvumiliana ktk tofauti zilizopo kati yao.
Mh. Alisema "wanasiasa wanapaswa kuvumiliana na kuzimaliza tofaut zilizopo kwa amani na utulivu pasipo choko choko wala uchochez wowote"
Source; Rfa
Mh. Alisema "wanasiasa wanapaswa kuvumiliana na kuzimaliza tofaut zilizopo kwa amani na utulivu pasipo choko choko wala uchochez wowote"
Source; Rfa