MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Code:Hivi karibuni wapo viongozi wa dini wamekamatwa kwa rushwa, ngono na kutuhumiwa kujihusisha na vitendo mbalimbali ambavyo ni kinyume na maadili yasiyo tegemewa na jamii kwa ujumla, wapo ambao wameshakamatwa na watafikishwa kwenye vyombo vya sheria, wapo wanaochunguzwa, tumeshawashuhudia na bado wataendelea kushuhudiwa. Hili si jambo dogo la kujitetea kwa kauli nyepesi kutoka kwa watu wanaotegemewa na jamii kwa kumpa Rais saa 48.
Tatizo kwa JK hii mifano yote aliyoitoa pamoja ya kuwa ni ya kweli amechemsha sana kwa sababu hakuna hata mfano mmoja alionao wa viongozi wa dini kukamatwa wakijihusisha na madawa ya kulevya....................................mbona mashkhe hawagusi..................au anamaanisha ya kuwa ni viongozi wa kikristu tu ndiyo wanakabiliwa na tuhuma hizi.............................by the way can the real JK stand up na kutuelezea what happened to the list of drug baros he was handed to....................................
Huyu dawa yake ni kumwotea kwenye kona ya 2015 tulimalizie hilo li chama lake la porini ambalo liko ICU. Anajibu kijeuri namna hii siyo basi naye aonyeshwe jeuri na lichama lake lisijaribu kuwaomba kura wauza unga ifikapo 2015. Maaskofu hivi JK asipokuwepo Askofu hasimikwi? Kuna siku atajisaidia kwenye altare huyu ndo mtakoma kumwalika mcheza kiduku madhabauni