Kikwete ashusha bei vifaa vya ujenzi

Kikwete sasa ameanza kazi, Nondo mm 12 ef 14500, sementi mfuko sh 12400,misumari,bati bei ni bwereree,hadi raha.kama una ujenzi wako wakati ni huu.

Hayo ni maneno tu maana kushusa cement na nondo si tatizo lkn ili ujenge unahitaji mchanga, kokoto, mawe, nk. Hivi vitu vyote vinategemea magari kubeba basi na bei ya mafuta labda ishuke. Yako mambo mengi ya kuangalia kwa kweli kuna issue ya mbao pia
 
Back
Top Bottom