Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
Cement huku kwetu ni sh 15,500 kwa mfuko nondo mm12 sh 16,000/=
Wapi huko kaka mkubwa?
Hivi pale full shangwe kigambonino hivyo vitu vyapatikanaje?
Cement huku kwetu ni sh 15,500 kwa mfuko nondo mm12 sh 16,000/=
wewe raia hacha Data zako za UONGO.......
Kikwete sasa ameanza kazi, Nondo mm 12 ef 14500, sementi mfuko sh 12400,misumari,bati bei ni bwereree,hadi raha.kama una ujenzi wako wakati ni huu.