Elections 2010 Kikwete ashuka ghafla kutoka jukwaani bila kuaga

Naamini JK yuko fit, maana kama ni kweli anamaradhi, basi yataonekana tuu, maana mficha maradhi.....

Unataka maradhi yake yaonekane kwa vipi zaidi ya kuanguka anguka hadharani? Wameficha ficha hayo maradhi sasa yanawaumbua!! Mtu fiti huwezi kukatisha mkutano na ukashuka jukwaani bila kuaga.
 
hivi sheikh yahaya analipwa sh ngapi kwa ulinzi anaompa kikwete?........analipwa binafgsi na kikwete au na serikali?.......au anajitolea?
 
Mkutano huo ulipangwa kuanza saa 4, asubuhi, lakini hata hivyo ukafanyika saa 8.30 mchana huku ikidaiwa kuwa kuchelewa kuanza kulitokana na Kikwete kuendelea na mikutano ya kampeni wilayani Ngorongoro.

Mara nyingi anapochelewa kufika katika mkutano huwa kunakuwa na namna, kama siyo kuanguka sijui itakuwa nini, Ngara walitangaza kuwa amechelewa kufika kutokana na hali ya hewa hivyo kushindwa kuendelea kutumia Helkopita, lakini tulipoperuzi humu jamvini tukabaini kuwa hali ya hewa ilikuwa safi na taarifa za ndani zikaeleza kuwa alianguka Karagwe ikabidi wamsafirishwa kwa magari.
 
Maandiko matakatifu yatufunza yafuatayo:-

DEUTORONOMY 32:35 "VENGEANCE IS MINE, AND RECOMPENSE, THEIR FOOT WILL SLIP IN DUE TIME; FOR THE DAY OF THEIR CALAMITY IS AT HAND, AND THE THINGS TO COME HASTEN UPON THEM,

DEUTORONOMY 32:36 "HE WILL JUDGE HIS PEOPLE, AND HAVE COMPASSION ON HIS SERVANTS, WHEN HE SEES THEIR POWER IS GONE, AND NOR IS THERE ANY REMAINING, BOND OR FREE,

DEUTORONOMY 32:37 "HE WILL SAY 'WHERE ARE THE GODS, THE ROCK IN WHICH THEY SOUGHT REFUGE?'

DEUTORONOMY 32:38 "WHO ATE THE FAT OF THEIR SACRIFICE, AND DRUNK THE WINE OF THEIR DRINK OFFERING. LET THEM RISE, AND HELP YOU, AND BE YOUR REFUGE,"

DEUTORONOMY 32:39 "YOU CAN NOW SEE THAT I; EVEN I, AM HE, THERE IS NO GOD BESIDES ME, I KILL AND I MAKE ALIVE, I WOUND AND I HEAL, NOR IS THERE ANY WHO CAN DELIVER FROM MY HAND."


Ukisoma Psalm 50:22 "THESE THINGS YOU HAVE DONE AND I KEPT SILENT, AND YOU THOUGHT I WAS ALTOGETHER LIKE YOU. BUT I WILL REBUKE YOU AND SET THEM IN ORDER BEFORE YOUR EYES."

Matukio haya ya JK yanaashiria Mwenyezi Mungu amesikia kilio chetu na hivi karibuni atarekebisha maonevu yote ambayo tumekuwa tukimlilia kwa miaka mingi ya uonevu wa CCM.
 
Tumuombe Dr Slaa amuhakikishie kutomfikisha mahakamani kwa ufisadi alofanya na amuombe ajitoe ili alinde afya yake, bado mwezi mzima wa kampeni jamani tutampoteza mtu huyu. Hata akiweka historia ya kuwa rais wa kwanza kutawala kipindi kimoja ni afadhali kuliko kupoteza uhai wake.
Saa hizi naona jopo la waganga wake likiongozwa na Sheikh Yahya na Prof Maji Marefu wanafanya kikao cha dharura kuyajadili majini yalomzidi nguvu mteja wao.
Pole Presidaa, Utaishi maisha marefu ukichukua uamuzi mgumu wa kujitoa kwenye kinyang'anyiro
 
He mbona inaonesha mambo kibao yamejificha.........kwani pia ilisemwa kuwa alianguka mbeya na nyamagana..........huyu ndiye rais tunayemtaka mwenye afya ya mgogoro
mara nyingi anapochelewa kufika katika mkutano huwa kunakuwa na namna, kama siyo kuanguka sijui itakuwa nini, ngara walitangaza kuwa amechelewa kufika kutokana na hali ya hewa hivyo kushindwa kuendelea kutumia helkopita, lakini tulipoperuzi humu jamvini tukabaini kuwa hali ya hewa ilikuwa safi na taarifa za ndani zikaeleza kuwa alianguka karagwe ikabidi wamsafirishwa kwa magari.
 
Big Noooo mkuu, ameanguka zaidi ya mara tatu hadharani na bado unauliza...........wakati mkia unauona?

Ni vizuri tukiacha kulalamika na kumkejeli, yanaweza kumkuta mtu yoyote. Nadhani ikiisha kampeni tu, jambo la kwanza ni kwenda Marekani au ulaya "kupumzika", ikiwezekana aende hata kabla ya kwisha kampeni. Pamoja na kwamba wengi hatufurahishwi na utawala wake lakini kwa ubindamu afya yake ni muhimu sana kwa chama na taifa, forget about matokeo yatakavyokua.
 
Pole sana rais wangu mpendwa. Sheikh Yahaya alikudanganya .... lakini kakusaidia maana Majini yalikutonya mapema kabla hujaanguka adharani... ukaangukia kwenye gari!! Pole sana......
 
Hivi kwanini akubali kwamba afya sio nzuri...kwani U-Rais ndo kazi pekee duniani?
Nyie wakereketwa fanyeni uamuzi wa busara sasa...
 
Ni vizuri tukiacha kulalamika na kumkejeli, yanaweza kumkuta mtu yoyote. Nadhani ikiisha kampeni tu, jambo la kwanza ni kwenda Marekani au ulaya "kupumzika", ikiwezekana aende hata kabla ya kwisha kampeni. Pamoja na kwamba wengi hatufurahishwi na utawala wake lakini kwa ubindamu afya yake ni muhimu sana kwa chama na taifa, forget about matokeo yatakavyokua.

Tatizo ni kama atafanikiwa kumaliza hizo kampeni ili aweze kwenda Marekani na Uingereza. Zaidi ni kuwa baada ya uchaguzi huwa kuna kazi nyingi kuliko wakati wa uchaguzi
 
Moderator naona mumeirekebisha ile statement ya Sheikh Yahya kuwa sheikh wa waislamu maana alikuwa anataka kuchafua hali ya hewa humu ndani Thanks!!!
 
"Hapa sana sana ni Veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa Sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu chake," alisema Kikwete bila kufafanua sababu za kutojengwa kwa Veta.


CC NI WAKWELI JAMANI
ccm oyeeeeeee.
 
"Hapa sana sana ni Veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa Sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu chake," alisema Kikwete bila kufafanua sababu za kutojengwa kwa Veta.


CC NI WAKWELI JAMANI
ccm oyeeeeeee.

CCM iseme kweli? Labda wanajaribu style mpya kwa Tarime. Au ndo wamebadili campaign strategy baada ya kugundua wakidanganya si habari tena
 
Majibu mepesi kwenye mambo mazito hatuwezi kuyaachia yaendelee. Afya ya mgombea urais sio kitu cha kubeza hata kidogo kwani kitaathiri fedha ya mlipa kodi hapo baadaye, Hatuna sababu ya kuacha kuuliza wahusika waweke wazi afya ya JK na ikibidi wampumzishe ili kuokoa Tz kuingia kwenye uchaguzi au kupata rais mgonjwa ambaye hawezi kutimiza majukumu ya Taifa, wakishindwa basi naomba watz wasimpe kura kwani kumpa kura JK ni kuipoteza.:mad2:
 
Back
Top Bottom