Mkuu unamahanisha CUF waliwakilisha CCM?ni kweli ndoa yao inafanya kazi mpaka huku bara?
Hii si dalili nzuri kwa chama tawala, hivi kweli CCM wameshindwa kumwandalia M/kiti wao mapokezi au tuseme hakuna viongozi na wanachama wa CCM huko, kwangu ni mpya kwa kweli.Katika kile kinachooneka kama upepo kugeuka ni kitendo cha Leo Kikwete alivyopokelewa katika Uwanja wa Ndege Tanga,Ambako amekwenda kwa ajili ya Mei Mossi!Huwanja ukiwaumetawaliwa na wanachama wa CUF na bendera huku kukiwa hakuna wanachama wa CCM kama ilivyozoleka. Je hii inaashiria nini?
Haya ndiyo yaliyojiri huko kwa wale wenye ubishi wa kuzaliwa picha hizo hapo Source:Michuzi Blog.
Mytake:CUF siyo kwamba walikuwa hawana kazi ila u can connect the dot.................................
Katika kile kinachooneka kama upepo kugeuka ni kitendo cha Leo Kikwete alivyopokelewa katika Uwanja wa Ndege Tanga,Ambako amekwenda kwa ajili ya Mei Mossi!Huwanja ukiwaumetawaliwa na wanachama wa CUF na bendera huku kukiwa hakuna wanachama wa CCM kama ilivyozoleka. Je hii inaashiria nini?
View attachment 53045View attachment 53046
Haya ndiyo yaliyojiri huko kwa wale wenye ubishi wa kuzaliwa picha hizo hapo Source:Michuzi Blog.
Mytake:CUF siyo kwamba walikuwa hawana kazi ila u can connect the dot.................................
Katika kile kinachooneka kama upepo kugeuka ni kitendo cha Leo Kikwete alivyopokelewa katika Uwanja wa Ndege Tanga,Ambako amekwenda kwa ajili ya Mei Mossi!Huwanja ukiwaumetawaliwa na wanachama wa CUF na bendera huku kukiwa hakuna wanachama wa CCM kama ilivyozoleka. Je hii inaashiria nini?
View attachment 53045View attachment 53046
Haya ndiyo yaliyojiri huko kwa wale wenye ubishi wa kuzaliwa picha hizo hapo Source:Michuzi Blog.
Mytake:CUF siyo kwamba walikuwab hawana kazi ila u can connect the dot.................................
Mkuu wetu wa Itikadi Mh. Nape Nnauye, tafadhali kanusha hii habari.
Sema wametengeneza picha kwenye photoshop, ...sema waslete ujanja wa kama wa wale 'wasomi' wa DATASTAR wa kuandika mabango yanayofanana mwadiko na then kujiita wanafunzi wa UDSM
Sijaelewa maana ya hii action.
Kwa upande mmoja, naelewa watu wa protokali ndiyo hupanga mapokezi
Kwa upande mwingine, nashindwa kuona mantiki ya maandalizi dizaini hii.
What is the messsage being sent. msichanganye wananchi mno bana