KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Katika kile kinachooneka kama upepo kugeuka ni kitendo cha Leo Kikwete alivyopokelewa katika Uwanja wa Ndege Tanga,Ambako amekwenda kwa ajili ya Mei Mossi!Huwanja ukiwaumetawaliwa na wanachama wa CUF na bendera huku kukiwa hakuna wanachama wa CCM kama ilivyozoleka. Je hii inaashiria nini?
Haya ndiyo yaliyojiri huko kwa wale wenye ubishi wa kuzaliwa picha hizo hapo Source:Michuzi Blog.
Mytake:CUF siyo kwamba walikuwa hawana kazi ila u can connect the dot.................................
Haya ndiyo yaliyojiri huko kwa wale wenye ubishi wa kuzaliwa picha hizo hapo Source:Michuzi Blog.
Mytake:CUF siyo kwamba walikuwa hawana kazi ila u can connect the dot.................................