Kikwete apewa kitabu, atakisoma?

Afanalek!!

Umeona enhh? Je ndiyo kusema jamaa anaanza kupungua?
Natamani ningeiona suruali rangi na ukubwa wake. Maana jamaa anapenda sifa za namna anavyooneka. Hata kama akivaa viatu "oversize" kama vile vya Msoga.
 



Katibu mkuu wa zamani wa umoja wa mataifa (UN) Kofi Annan akisalimiana na rais Jakaya Kikwete baada ya kumkabidhi kitabu chake. Kwa wanaojua jinsi Kikwete anavyozidi kuua elimu na maadili nchini wanashangaa kama hii ni zawadi au suto. Je Kikwete asiye na muda wa kutulia hata kufanya kazi zake atapata muda wa kusoma hicho kitabu? Kikwete asiye na utamaduni wa kujisomea atakisoma au kukiweka kwenye shelves na huo kuwa mwisho wake? Kikwete rais atokanaye na kizazi kisichosoma wala kutunga na kuandika na kitabu wapi na wapi?

Labda ataangalia picha. kama ni ya wasanii labda ataisoma kwa vile kunayanayomfurahisha.
 
Hapa bwana annan nadhan kapoteza muda wake,angemuambia wapige picha tu sawa ila kusoma?mmh!!
 
Mbona unaongea maneno mpaka povu la Gego la mwisho linakutoka? JK yaonyesha anakuuma sana kwa utendaji wake ? Na kumbuka rais ni taasisi si mtu mmoja ukilijua Hilo povu lote litakuisha, teh teh teh
Sijui POVU umelionaje likimtoka kwenye mtandao!!
 
Ningekuwa mimi ni Koffi Annan, ningeweka ki-note kwenye chapter ya kwanza inayosomeka 'Please call me as soon as possible'.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom