Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
Afanalek!!
Umeona enhh? Je ndiyo kusema jamaa anaanza kupungua?
Natamani ningeiona suruali rangi na ukubwa wake. Maana jamaa anapenda sifa za namna anavyooneka. Hata kama akivaa viatu "oversize" kama vile vya Msoga.
Umeona enhh? Je ndiyo kusema jamaa anaanza kupungua?
Natamani ningeiona suruali rangi na ukubwa wake. Maana jamaa anapenda sifa za namna anavyooneka. Hata kama akivaa viatu "oversize" kama vile vya Msoga.