Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
haya matawi ya nje ya nji yapo kila siku au ni mwaka huu wa uchaguzi tu jamani? ikifika wakati wa kupiga kura wataru home au?
Lady N
Hii ni SHOW TIME!
haya matawi ya nje ya nji yapo kila siku au ni mwaka huu wa uchaguzi tu jamani? ikifika wakati wa kupiga kura wataru home au?
Mkuu,ivi mkuu invisible...wameweke technologia ya aina yeyeto hapo? Kama slideshow, video, nk?
Imefika wakati wa kuwaandama viongozi wa upinzani ambao ni mapandikizi tu, si wa kuonea aibu tena!
Na nadhani imefika wakati ambao baadhi ya wana CCM wanatakiwa waache kufurahia nyimbo tu na kukatiwa viuno walifikirie taifa zaidi.
Ukitaka kujua hali ni mbaya na tunahitaji kujiepusha na ushabiki usokuwa na maana basi angalia hapa: JamiiForums|TMF Blogs hasa kwenye hoja hii kutoka kwenye vijiji vyetu ambapo watanzania wapo hali mbaya sana:
Pres. Kikwetes Maisha bora kwa kila Mtanzania
Hii ndiyo hali halisi ya maisha ya watanzania asilimia kubwa... Hii kuburudishwa na nyimbo
Mkuu,
HAKUNA!
Mimi hapa nacheka tu kuwaona kina Maina Owino wakijigamba kuwa ni CCM in Diaspora na huku wakijigamba na mambo ya Dual Citizenship. This' boring for sure. Hivi Diaspora inamaanisha UK na US peke yake? Unaweza kutukana bure...
Kiujumla wajumbe wamepoa SANA kuliko nilivyotarajia.
SASA mkutano ndio unazinduliwa rasmi, anaongea Makamba na anataka kumkaribisha JK... Subirini madongo!
Pana mkanganyiko kidogo! Inaonekana kama "MULTIMEDIA FAILURE" - Naona baadhi ya SPEAKERS au Microphone zinashindwa kufanya kazi!
Mkuu nipo ndani ya ukumbi, si unajua sisi wadau haswa...
Dokii amejazia kwelikweli... Anasifia KIKWETE ANAWEZAAAA!
ni kweli mkuu.:hail:Lady N
Hii ni SHOW TIME!
nimeona makanda umepita hapa TBC1, ITV, Ch10 na StarTV tunawakilisha. hapo swali kunkichwa mheshimiwa.Hivi shughuli inayofanyika dodoma ni ya kitaifa?? au ya kichama?? Kama ni ya kichama TBC1, Star TV na RObot wamenunuliwa na CCM?
Naomba mwongozo
Mkuu utaniliza ujue?Mimi ningependa kujua tu hizi pesa zimetoka wapi?
Over my dead body!Hivi TBC1 watatangaza mkutano wa CHADEMA?