MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Wewe kweli ni malaria sugu, Ivi hujaona kule wanakotupeleka? Au na wewe ni fisadi maana wimbo huu unawafaa sana mafisadi wanaolindwa na watu hawa. Ila atakapokuja mtu mwingine ndipo tutakapojua kuwa Hao jamaa walikuwa ni akina nani.
Hawa wakishinda ni msoto kwa wafanyakazi hadi mwisho.
Hawa wakishinda ni msoto kwa wafanyakazi hadi mwisho.