hata china kwa miaka 5 iliyopita wameongezeka mabilionea lukuki.
Huko america kina dick chen,karl love,bush etc wamepiga madeal ya hatari na halibutorn yao na wamekua matajiri wakubwa na bado wamarekani wanakamuliwa kodi hata kama anaishi nje ya marekani bado anatakiwa kulipa kodi.
Huko kenya wadada kufungua grocery tu leseni ksh 50,000 ambayo ni sawa na milioni kwa hapa,wakati hapa watu wanafungua na kufanya biashara bila kulipa leseni wala kodi,hakuna maendeleo kama kodi hailipwi.
Bariadi sasa ni mkoa kwa taarifa tu,na miundo mbinu inawekwa,barabara,umeme,na hata maji ya victoria yatafikaungeanza kujiuliza kwanza hao wananchi wa bariadi waliompitisha kwenye kura za maoni na baadaye bila aibu wakamchagua kuwa mbunge wao. sasa kikwete angewakataza wananchi wasimchague?
ni vizuri ukaangalia tatizo la msingi.
Rombo walifanya kweli baada ya kuona Mramba ni mwizi wakampiga chini na kumchagua selasini.
Huo uoga unaupimaje??? Chenge hayuko chini ya mamlaka ya rais hawezi mfanya chochote angekuwa waziri angemtimua alishafanya hivyo sawa huu uoga we unaupimaje??? Je akimuona anammkimbia?
sema jingine,watu tuko full nondo bana,haturopoki.Acha kuandika upuuzi wewe andika ukiweka na ushahidi sio malipo ya buku saba yakufanye ushirikishe m***lio kwa kila bandiko kuliko kutumia akili.
@The Boss somo kuanzia ukurasa wa 66 wa rasimu hii uone dawa inayopendekezwa kwa wakwepa kodiUkitazama jinsi Chenge anavyo waudhi wananchi hadi kuichukia serikali
unajiuliza why anaogopwa namna hiii
Kikwete hawawezi kumfanya lolote huyu Chenge?
Kwanza watu walilamika asiwekwe kwenye baraza la mawaziri
Kikwete akamuweka mwisho Chenge bila woga wala haya akaliuza shirika la reli kwa
wawekezaji vimeo wa kutoka India na kila mtu anajua kilichotokea hadi mwisho serikali
imelirudisha shirika hilo kwa umma....
halafu Chenge akaenda kufanya fitina akateuliwa Mwenyekiti wa Kamati bungeni bila kupigiwa kura
yaani ni uteuzi tu wa Spika kinyume na taratibu na sasa anatumia huo uenyekiti kuzalisha kero mpya
za kila mara kwa Watanzania...hasa kupandisha kodi zisizo na kichwa wala miguu
mfani hii kodi ya simcard licha ya mawaziri wa Kikwete kama January Makamba kuipinga
Chenge ameilazimisha iwepo na mwaka huu anairudisha tena na kodi zingine kupandisha,,,
swali la kujiuliza ni kwa nini huyu mtu Chenge anaogopwa ndani ya CCM hadi na mawaziri na Kikwete pia?
why is Chenge still powerful ndani ya CCM? why Kikwete anamuogopa?
Pombe 20% ya budget madera,baibui % ngapi?FaizaFoxy said:Zimeauma kodi za pombe kupandishwa, semeni ukweli.
Toka Kikwete awe Rais hawa wamekuwa mabilionea
1. Lowassa
2.Chenge
3.Ngeleja
4.Riziwani
5.Karamgi
6.Maswi na wengineo
why watu walipe kodi zaidi?
Sijasema watu waache kulipa kodi, la hasha!Ni kweli Kodi inatumika kinyume na matarajio na hapo ndipo kwenye tatizo kubwa, nini kifanyike ? Cha kufanya si watu kuacha kulipa Kodi kisa hazileti maendeleo ,bali sasa umefika mda wa kuweka Uwazi juu ya ukusanyaji Kodi na matumizi ya Kodi ibuniwe njia za kisayansi kuziba mianya ya wajanja kupiga.
Zimewauma kodi za pombe kupandishwa, semeni ukweli.
Hakuna kinacho tuuma ulisha sikia tunalalamika, wanyaji ndiyo wachangiaji wakubwa wa kodi wewe kama hupigi mambo yetu tuache tu