The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Kikwete baada ya kufanya mabadiliko ya mawaziri kuna kitu kimoja nimekiona
kiko very interesting.....January amebaki bado naibu Waziri still'
Ni kama vile amempuuza?
mbona amewa promote kina Simbachewene?Jenista?
kabla ya hapo alishm promote Nyalandu huku January akiwa haamini ameachwa still as naibu waziri..
Now January ni sawa tu na Anna Kilango wote ni manaibu waziri
imebaki miezi tu kwenda kwenye uchaguzi kama January haaminiki hata kupewa
uwaziri kamili ni vipi aaminike kupewa urais?
naona Team January wanapaswa kujiuliza maswali haya sana
wanaweza kampeni ya media vizuuri sana but wamesahau the basics.....
kiko very interesting.....January amebaki bado naibu Waziri still'
Ni kama vile amempuuza?
mbona amewa promote kina Simbachewene?Jenista?
kabla ya hapo alishm promote Nyalandu huku January akiwa haamini ameachwa still as naibu waziri..
Now January ni sawa tu na Anna Kilango wote ni manaibu waziri
imebaki miezi tu kwenda kwenye uchaguzi kama January haaminiki hata kupewa
uwaziri kamili ni vipi aaminike kupewa urais?
naona Team January wanapaswa kujiuliza maswali haya sana
wanaweza kampeni ya media vizuuri sana but wamesahau the basics.....