Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Duuh! Kweli JK msanii
waswahili wanasema ukiwa muongo, usiwe msahaulifu.
kijamaa ni kiongo hiki halafu kusahau nje nje.
Duuh! Kweli JK msanii
My Take:
1. Huyu jamaa alitajwa na Ngeleja kama mmiliki wa Dowans almost 2 weeks earlier kabla JK hajaruka kimanga kutomfahamu mmiliki wa Dowans. Lakini it turns out kumbe JK amewahi kukutana na huyu jamaa ana kwa na in official terms. Hii sintomfahamu inazua maswali mengi kwamba JK kuna kitu anakificha.
nikiifuata hiyo link upande wa daily noise napata ujumbe huu:
, You have an error in your SQL syntax; check the manual that corresponds to your MySQL server version for the right syntax to use near 'and authorised='1'' at line 1
wametoa nini?
Wameitoa lakini huo sio ujanja iko huku tayari Tanzania Looks to Model India's Cotton Industry - Cotton 24/7
UKWELI: Simtetei JK maana anawajua Dowans wala hilo halina mjadala mkubwa, lkn hapo Daily News waliandika habari ya JK kutembelea kiwanda cha "Al Adawi Cotton Ginnery" kilichoko wilayani Maswa. Kiwanda hiki kilikuwa kinamilikiwa na Cargill (T) Ltd na baadae kuuzwa kwa "Abdul Hilal" ambaye ni mfanyabiashara mwenye asili ya Kiarabu lkn mwenyeji wa siku nyingi hapa nchini (anaongea kisukuma sana).
Hivyo, kampuni ya Al Adawi isihusishwe na anayejiita mmiliki wa Dowans (Brg Gen. Al Adawi). Mi si msemaji wa kampuni hiyo lkn niko kwenye Cotton Industry na huu ndo ukweli.
SAFI SANA.
So it's official (from Daily News sources) that Kikwete met Al Adawi last year 2010.
Mbona alitudanganya?
Pinda naye akadanganya mambo ya Arusha. Serikali imejaa mafisadi, na sasa wote wamekuwa waongo.
Mwanza lianzisheni. Nchi nzima inafuata kama Misri, Tunisia, Libya, Bahrain...
Sasa Daily News walimaanisha nini na hii kauli(inamwongelea individual na sio kampuni kama Al Adawi) na sio huyo Abdul Hilal?
''Al Adawi said his company, which bought a ginnery from the American agro firm Cargill last year, plans to build the capacity of cotton farmers in Shinyanga Region, by providing them with modern farming skills, tractors, power tillers and farm inputs.''
Nimekuelewa Safari, lkn binafsi naamini waandishi wa habari "makini" hapa TZ ni wachache km akina Jen. Ulimwengu, Kubenea, nk. Tatizo wengi wa wanaosoma Mass Communication, Journalism, na vya kufanana na hivo huwa mara nyingi wamekwepa au kufeli masomo ya kufikirisha au kudadisi sana. Hivyo, mi nina wasiwasi km huwa wanaandika kwa kusikia tu bila kufikiri au wanafikiri kidogo sana na kuandika mengi.
UKWELI: Simtetei JK maana anawajua Dowans wala hilo halina mjadala mkubwa, lkn hapo Daily News waliandika habari ya JK kutembelea kiwanda cha "Al Adawi Cotton Ginnery" kilichoko wilayani Maswa. Kiwanda hiki kilikuwa kinamilikiwa na Cargill (T) Ltd na baadae kuuzwa kwa "Abdul Hilal" ambaye ni mfanyabiashara mwenye asili ya Kiarabu lkn mwenyeji wa siku nyingi hapa nchini (anaongea kisukuma sana).
Hivyo, kampuni ya Al Adawi isihusishwe na anayejiita mmiliki wa Dowans (Brg Gen. Al Adawi). Mi si msemaji wa kampuni hiyo lkn niko kwenye Cotton Industry na huu ndo ukweli.
Una uhakika na shareholding structure ya kampuni yako lakini??
Kwamba:
1/ "Abdul Hilal" ni sole shareholder?; au
2/ "Abdul Hilal" si local agent tu wa mwenye kampuni ambaye ni "Al Adawi"?; au
3/ "Abdul Hilal" si ndugu (binamu, mjomba, shemeji) wa "Al Adawi"?;
UKWELI: Simtetei JK maana anawajua Dowans wala hilo halina mjadala mkubwa, lkn hapo Daily News waliandika habari ya JK kutembelea kiwanda cha "Al Adawi Cotton Ginnery" kilichoko wilayani Maswa. Kiwanda hiki kilikuwa kinamilikiwa na Cargill (T) Ltd na baadae kuuzwa kwa "Abdul Hilal" ambaye ni mfanyabiashara mwenye asili ya Kiarabu lkn mwenyeji wa siku nyingi hapa nchini (anaongea kisukuma sana).
Hivyo, kampuni ya Al Adawi isihusishwe na anayejiita mmiliki wa Dowans (Brg Gen. Al Adawi). Mi si msemaji wa kampuni hiyo lkn niko kwenye Cotton Industry na huu ndo ukweli.
Mkuu hebu soma tena hako ka-paragraph hapo chini alafu ulinganishe na statement zako!!
Al Adawi said his company, which bought a ginnery from the American agro firm Cargill last year, plans to build the capacity of cotton farmers in Shinyanga Region, by providing them with modern farming skills, tractors, power tillers and farm inputs.
Huyo jamaa mi nimeshindwa kumuelewa kabisaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!