Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Mkapa alipewa zawadi ya bonge la dhahabu, toto la kikwere linahongeka kwa suti, izeeeee
<br />Weakleaks wanavujisha taarifa za kiintelijensia za Ubalozi wa Marekani na kuutoa. Serikali ilitakiwa iwabane hawa Weakleaks wathibitishe kama kweli hizo taarifa wamezitoa Katika mawasiliano ya Us Embasy na kama ni kweli Us Embasy ilitakiwa wabanwe wathibitishe wakishindwa tuwafukuze wafunge ubalozi wao hapa kwetu maana watakuwa hawatutakii mema. Kwakutokuwabana inaonyesha haya yote ni ya kweli
Kwani mheshimiwa anatakiwa awe na status gani??Heeeh, since when???!!! au ukiwa katibu muhtasi wa ikulu, basi unaitwa mheshimiwa?
<br />Salva kuna mambo ya msingi ameyakimbia, hivi ulitegemea yule Pile ajibu tofauti wakati anajua jibu unalotaka kulisikia toka kwake! kama wikileaks wametoa maneno ya uongo(sijui ni kwa faida gani) ni budi ikuli na salva walete ushahidi kuwa mkuu hakununuliwa suti sita na kulipiwa safairi ilhali akiwa ni waziri wa mambo ya nje
..Dogo ni dhahiri anatuonyesha ule uswahili wake. Na yule Salva amewekwa pale ili awe anamkingia kifua dogo maana nimesilikiliza maelezo yake ya jana nikashindwa kuelewa huyu mtu amekwenda shule au ndio kutetea ugali wa watoto wake?Anaitwa JK a.k.a OMBAOMBA
zawadi tu ile haina shida acheni wivu wa kijinga nyie wapiga porojo hamna kitu cha kufanya!
mi mwenyewew nashangaa wiki leaks balozi tena wa USA wotee wamsingizie hamna kitu jamaa akubali bwana kadaka suti na hizooo hela yaaani nahisi washatuona sie watz mazooooobaaa hawa jamaaaaa hayaaa..Salva Rweyemamu msemaji wa lkulu amepinga vikali kuwa raisi wetu hakupokea hongo ya suti.
Je wikileaks wana ugomvi gani na kikwete hadi wamsingizie? Au kuna mkono wa Chadema kwenye hii KASHFA YA RAISI?
heheh we mwenye chakufanya go on do it tuache siezawadi tu ile haina shida acheni wivu wa kijinga nyie wapiga porojo hamna kitu cha kufanya!
<br />Heeeh, since when???!!! au ukiwa katibu muhtasi wa ikulu, basi unaitwa mheshimiwa?
<br />Kwa hili Kikwete kaliaibisha taifa na kujiaibisha mwenyewe...
Inawezekana kabisa!!<br /><br />
<br /><br />
SIFA ZA KIJINGA,INAWEZEKANA HATA ALIONGEZA MKE KWA SUTI HIZO! JAMAA MSWAHILI KUPITILIZA
<br />zawadi tu ile haina shida acheni wivu wa kijinga nyie wapiga porojo hamna kitu cha kufanya!