Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,351
KUNA VITU VILE NAWAZA:
Mzee Lowassa akiutwaa Urais, Nape atafanya kazi gani tena ?
Siasa ni mchezo mchafu, utashangaa Lowassa akiwa raisi na Nape akawa waziri.
KUNA VITU VILE NAWAZA:
Mzee Lowassa akiutwaa Urais, Nape atafanya kazi gani tena ?
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!
KUNA VITU VILE NAWAZA:
Mzee Lowassa akiutwaa Urais, Nape atafanya kazi gani tena ?
Waandishi wa habari wa siku hizi ni janga lingine la taifa!
Kuanzia huyo lowasa mpiga kampeni makanisani mwizi tapeli fisadi nyangumi papa baba lao mafisadi,mtuhumiwa namba 1 wa ufisadi mkubwa tanzania,mbele ya riziwani wakifuatiwa na kinena(ndovu) lowasa mzee wa richmond na mahela ya uswiswi hafai kuwa raisi kama anaweza kumtorosha muimba injili c ndio atamkatia licence kinena asafirishe mpaka za faru hazarani,hatuwezi kuwa na raisi kama huyu mtumia pesa kujipigia chapuo...nnape kazi unayo baada 2015 japo huyu mzee hawi rais ila mtetezi wako hatakuwa tena madarakani so utakolimbwa live!!!
Pili kikwete mdhaifu kabisa hakujawahi tokea rais kama huyu duniani ajabu la nane la dunia hili,kivutio cha utalii ambacho ni mobile!!!?nnchi imemshinda so asemacho chochote ni pumba kabisa...
Nnape ndio kabiisa zuzu ambaye hajielewi kabisa...huyu kama hapa sijui kapinga nini sasa
si mna raisi wenu dr slaa? Sasa huku ccm kunakuhusu nini?
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!
Siasa ni mchezo mchafu, utashangaa Lowassa akiwa raisi na Nape akawa waziri.
labda mvua ya Thailand!EL ni kama mvua, kama inanyesha inanyesha.
Yaleyale uliokuwa unapiga yakuwa kinyume chakeSiasa ni mchezo mchafu, utashangaa Lowassa akiwa raisi na Nape akawa waziri.
Yaleyale uliokuwa unapiga yakuwa kinyume chakeSiasa ni mchezo mchafu, utashangaa Lowassa akiwa raisi na Nape akawa waziri.