Kikwete ammwagia sifa Lowassa

Kikwete ammwagia sifa Lowassa

Jk hyuko serious hata siko moja. |si ajabu hakumbuki kama alimsifia.
 
wanajua wakimtosa Lowassa CCM tunaifukia rasmi - Nape anza mazoezi ya kufanya kazi na mwenyekiti mpya wa CCM ambaye ulimpa siku 90 ajivue gamba.
 
Sio njembe tuu siku hizi kila mtu jembe, EDO ni zaidi jembe wananchi wapenda maendeleo hawataki kujua kama ni kweli ilisemwa au haikusemwa.

Mwendo ni uleule EDO na tukikaribia kitonga lazima kuongeza speed hakuna kurudi nyuma au ku-relax kwa kauli.
 
Kuanzia huyo lowasa mpiga kampeni makanisani mwizi tapeli fisadi nyangumi papa baba lao mafisadi,mtuhumiwa namba 1 wa ufisadi mkubwa tanzania,mbele ya riziwani wakifuatiwa na kinena(ndovu) lowasa mzee wa richmond na mahela ya uswiswi hafai kuwa raisi kama anaweza kumtorosha muimba injili c ndio atamkatia licence kinena asafirishe mpaka za faru hazarani,hatuwezi kuwa na raisi kama huyu mtumia pesa kujipigia chapuo...nnape kazi unayo baada 2015 japo huyu mzee hawi rais ila mtetezi wako hatakuwa tena madarakani so utakolimbwa live!!!

Pili kikwete mdhaifu kabisa hakujawahi tokea rais kama huyu duniani ajabu la nane la dunia hili,kivutio cha utalii ambacho ni mobile!!!?nnchi imemshinda so asemacho chochote ni pumba kabisa...

Nnape ndio kabiisa zuzu ambaye hajielewi kabisa...huyu kama hapa sijui kapinga nini sasa
 
Taratibu tu yote yatajulikana.

Mbona kauli ya JK kuhusu kutangaza nia inapishana na kauli ya Mangula aliyosema kuwa atahakikisha wanaojinadi kwa kipindi hichi kuwania nafasi za uongozi watafunguliwa mafile ndani ya chama kwa ajili ya kuojiwa kwa utovu huo wa nidhamu??

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Nimesoma thread moja ambayo imenukuu gazeti la mwananchi kuwa JK amemfagilia Lowasa kuwa nguvu zake zinatosha kuipa ushindi CCM. Baada ya thread hiyo, Nape kaja juu na kumuita mwandishi wa habari ile kuwa ni mshambenga.

Nikiri kuwa kama katibu mwenezi, kazi yake ni kueleza kinachoendelea ktk chama. ila kitendo cha ku-provoke, na kuonesha kuwa humtaki na humpendi Lowasa ni kitendo kibaya na hakitakiwi kufanywa na mtu mwenye dhamana kama yake. anatakiea awe fair na aache chuki binafsi
 
Nimesoma thread moja ambayo imenukuu gazeti la mwananchi kuwa JK amemfagilia Lowasa kuwa nguvu zake zinatosha kuipa ushindi CCM. Baada ya thread hiyo, Nape kaja juu na kumuita mwandishi wa habari ile kuwa ni mshambenga.

Nikiri kuwa kama katibu mwenezi, kazi yake ni kueleza kinachoendelea ktk chama. ila kitendo cha ku-provoke, na kuonesha kuwa humtaki na humpendi Lowasa ni kitendo kibaya na hakitakiwi kufanywa na mtu mwenye dhamana kama yake. anatakiea awe fair na aache chuki binafsi

Mkuu unapoteza mda wako bure kwani huyo Nape ni kichwa nazi, haelewi wala kusikia ushauri.
Lakini huwezi kuamini pamoja na ukichwa nazi wake, bado mwenyekiti wa chama chao cha majuha kamwona Nape ndo bora na fikra pevu, kampa usemaji wa chama. Swali je, kama Nape ndo bora vp waliosalia bila vyeo ndani ya chama? Si hatari tupu? Au alomteua Nape ndo hamnazo kabisa?
 
Wakati kilanja mkuu wa ccm ameishatoa ridhaa ya kujimwaga na kujiweka sawa kwa wana ccm wanao utaka urais, Sasa swali je ni nani atakimbia zaidi na kuwa kama bolt? Haoooo wameanza sasa japo wengine walianza mapema zaidiiiiii Kwangu mimi nadhani yule jamaaa atawashinda​
 
Waandishi wa habari wa siku hizi ni janga lingine la taifa!
 
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!

Wewe Vuvuzela unajulikana kwa uhasama wako kwa Lowassa, ila ujue tu kuwa siku zako zimakaribia za kurudi kuchunga
mbuzi wa babu yako huko Singida kwani EL ndio mgomea urais wa chama chenu cha magamba!!!
 
Kweli nape kachemusha kwa Ruwasha haingii hata kidogo, Anapaswa aombe mungu CDM iingie madarakani vinginevyo sijui.....
 
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kwani Mh. Nape wewe kinachokuuma ni kitu gani ? Siku 90 ziliisha na Magamba yalikushinda , si unajua hao jamaa hawakukutana Barabarani ! Au wewe uko kundi gani kaka , maana tunaambiwa sasa hivi kuna Makundi 6 , Eti Chenge naye anataka Urais !
 
Nyie Mwagianeni Sifa zote mnazozijua , Lakini Mwisho wa CCM NI 2015 , hakuna cha Nape , Lowasa wala Membe , na nina hakika CCM itafutika kabisa kama vile KANU ! bila Madaraka hakuna CCM , Hivi unadhani mtu kama Lowasa au Chenge wanaweza kuzunguka lets say labda Lindi au Mtwara kutafuta wanachama au kufungua Matawi ili kufufua Chama ? Thubutu !
 
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!
Ukisikia jina la Lowassa tumbo la kuhara linakushika gafla.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Juhudi za kutunga uongo ni kubwa sana. Kama mgombea anafaa huna sababu ya kutunga uongo kuonyesha anafaa!! Huu unaofanyika na mwandishi wa stori hii ni ushambenga!

Sorry nape, hivi ulishaga mwomba msamaha mzee Lowasa? nafikiri kafsha zake ndio zilizokupa cheo hapo magambani, naam, hata jina hili la magamba linatokana na wao kina Lowasa, mwenyekiti wako ndio kisha mpa shavu, vipi utarudia Ulokole? cause na hisi hutakua na chako hapo magamba!
 
Waandishi wa habari wa siku hizi ni janga lingine la taifa!
Waandishi wa habari wanageuka kuwa janga la taifa baada ya kuandika habari ambazo haziwafurahishi baadhi ya makada wa ccm.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Kwani Mh. Nape wewe kinachokuuma ni kitu gani ? Siku 90 ziliisha na Magamba yalikushinda , si unajua hao jamaa hawakukutana Barabarani ! Au wewe uko kundi gani kaka , maana tunaambiwa sasa hivi kuna Makundi 6 , Eti Chenge naye anataka Urais !


Hiyo bluu nadhani NN hakulitambua hilo atajitambua siku anabaki kupiga kelele wakati wao wakigonga chiaaazi!

Hiyo red ni SPIKA ajaye
 
Back
Top Bottom