Jk mwenyekiti Taifa CCM na rafiki wa karibu sana na E Lowassa amenukuliwa mara kadhaa akimsifia swahiba wake akimwita mchapakazi, jembe na hodari sana. Mwenye misuli na uwezo wa kushinda chaguzi.
Nape Nnauye kati wa mwenezi wa CCM taifa amenukuliwa akisema E Lowassa fisadi, anakichafua chama, gamba lazima litoke.
kati ya mwenyekiti, katibu mwenezi wa CCM, na wairi mkuu alistaafishwa kwa kashfa za ufisadi akajisafisha kwa kutumia nyumba za ibada nani anakubalika zaidi ndani ya gambas??
Jk karuhusu vita ya 2015 ianze rasmi ndani ndani ya chama cha CCM.
Vita hii itatuletea madhara haya yafuatayo.
Wizi mkubwa kuliko ule wa EPA kwa kujipatia fedha za viata.
Tembo wengi kukatwa vichwa na mzee wa ujangili
Twiga wengi kuuzwa wakiwa hai nje ya nchi.
Mikataba mibovu mingi na wizi wa madini.
Wizi na ukwepaji mkubwa wa kodi.
Rushwa kubwa na dhuluma zilizopita kiasi.
Matumizi makubwa ya nguvu za polisi, vifo, kufungwa hasa kwa wapinzani na viongozi wao.
Vita hii itaongeza dawa feki, maji, feki, sabuni, feki, tairi feki, ghorafa kuanguka kwa kukosa viwango rushwa hiyo.
Mapaka vita hii ifikie kileleni mwaka 2015 Tanzania itakuwa imetumbukia kwenye chuki za kubwa na za kutisha za kidini, kikabila,kikanda, umasikini na utajiri.
Mwisho wa siku majeraha yatakuwa ni makubwa bila kupata tiba.
Chief Mkwawa anakumbuka mwaka 2005 walivyoitwa wauaji akina Salim A salim kwa kalamu ya salva.
Mwaka 2014-2015 Tanzania ndio itapitia maturity ya uwepo wa vyama vingi.