Kikwete alitumia uchawi gani?

Kikwete alitumia uchawi gani?

2kimo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,029
Reaction score
2,072
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Rais aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Rais alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na Rais wetu alikuwa full kutabasamu, urais kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na rais hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
 
Uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?

Uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
 
Huwezi kuwalazimisha watu wote wakae ndani ya box la CCM as if hiyo ndiyo best practice na standard ya mwisho ya Watanzania.

Tatitzo lake hamna lolote wanabaki kudandia juu juu agenda za wapinzani bila kujua namna ya kuzitekeleza.

Nilitegemea mbele ya kusifia ujenzi wa shule, barbara na majumba ya kisasa, uongezee mzigo wa kodi kwa wafanyakazi, kiwango cha elimu Tanzania ambacho ndiyo mtaji wa taifa na vizazi vyake, uzungumzie ufisadi ulikithiri kuanzia Richmond, EPA, Escrow, Kagoda, meremeta, ujenzi wa bomba la gas, L, iptl nk.

Kisha uendelee kidogo hadi kwenye ongezeko la kutisha la deni la serikali lisilo maelezo, uangalie hujuma za mali asili zetu ikiwamo usafirishaji wa wanyama na mauaji ya tembo, hatua gani serikali ilichukua, thamani ya hujuma hizi ulinganishe na uwekezaji kwenye hiyo barabara na magorofa NSSF unayoyasema.

Mwisho utazame mauaji ya kisiasa ya kina Mwangosi, uovyo wa huduma za afya kitu ambacho ni cha msingi kuliko yote, habari za M'nyang, ulimboka, na wengine walioteswa kwa maslahi ya mtu mmoja, watanzania wanaoendelea kufa hadi leo kwa sababu ya ukosefu wa huduma za afya, uharamia na hujuma zilizofanywa juu ya katiba ya nchi uliolengesha kwenye kile kinachoendelea sasa, uchakachuaji wa kura na hitimisha uchaguzi wa zanzibar.

Yeyote mwenye akili timamu anajua kabisa yanayotokea leo hii, ni matokeo ya utawala wa huyo mkwere wenu asiyekuwa na maono wala mipango ya maana ya maendeleo ya taifa zaidi ya kulinda maslahi yake na ya familia yake.

Lawama zote zirudi kwa mkwere kwa sababu ndiye muasisi wa udikteta na utawala unaoendelezwa hapa Tz. Kila kitu aliasisi yeye na sasa anafurahia matunda ya mkono wake wa mgongoni.

Kama unataka kujifunza kaa kando waanchie Watanzania waongoze nchi kwa ufanisi bila kutumia nguvu ya majeshi kama mnavyofanya sasa.

TUMECHOKA NA CCM!
 
uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?
uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
Bajeti ya Mwaka huu serikali inakopa trilioni saba...bado kwenye ujenzi wa reli....wachina wakitukopesha trilioni 16,kwa mwaka mmoja serikali inakuwa imekopa trilioni 23.....hebu rudia ...umesema kipindi cha jk deni lilipanda toka ngapi kwenda ngapi?
 
uliza deni la taifa lilifikia sh. ngapi?
uliza mikataba iliyo sainiwa (juu ya malia asili) leo bado inakunufaisha?

ILIKUWA FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE. JE TUENDELEE NA STYLE KAMA HIYO?
Issue sio mkopo, unatumiaje ulichokopa!
Jifunze kupitia familia!
Wanaolisha wenzao ktk familia ndio pia wanadaiwa na mabenki na taasisi nyingine za kifedha! Hakuna mtu anayemdai maskini duniani, ila matajirii karibu wote wana madeni ikiwemo USA!
Fikiria tena juu ya deni la taifa!
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Raisi aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Raisi alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na raisi wetu alikuwa full kutabasamu, uraisi kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na raisi hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
umepata kuongea hayo mauchafu yako kwa kumpima kikwete kwa miaka kumi. huyu hata mwaka haujaisha.
 
Wote tulilaumu ufisadi

Kodi zilikuwa hazilipwi?

Raisi aliitwa dhaifu kwa kutokuwa mkali!

Wana ccm wakabadili gia Dodoma na kuhama!

Raisi alikuwa anasafiri karibu kila mwezi

Lakini barabara zilijengwa, Vyuo vikuu na shule nchi nzima.

Majengo ya kisasa na upanuzi mkubwa wa miji wenye majengo ya kisasa kabisa!

Watumishi wa umma na wafanyabiashara walineemeka!

Na raisi wetu alikuwa full kutabasamu, uraisi kwake ilikuwa kitu kidogo kama ukiranja wa zamu tu!

Leo sasa!

Kila kitu kimerekebishwa, na raisi hacheki cheki!

Lakini Mambo yamezidi kuwa magumu, na hata mwenyewe amesikika akisema anajutia uamuzi wake wa kukitaka kikombe hiki!

Je, ni wakati wa kurejea kupata semina elekezi toka kwa "mkwere"?

Au Mkuu apitie tu kisirisiri hadidu za rejea za serikali ya "mkwere" ili mambo yasiende mrama!
Wewe ni mhasibu wa serikali?Mbona maisha kawaida sana?Mlizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vinawatesa
 
Huwezi kuwalazimisha watu wote wakae ndani ya box la ccm lililojaa damu za Watanzania as if hiyo ndiyo best practice na standard ya mwisho y aWatanzania.

Ccm ni moja ileile inayonyonya damu za Watanzania.

Tatitzo lake hamna lolote wanabaki kudandia jujuu agenda za wapinzani bila kujua namna ya kuzitekeleza.

Nilitegemea mbele ya kusifia ujenzi wa shule, barbara na majumba ya kisasa, uongezee mzigo wa kodi kwa wafanyakazi, kiwango cha elimu Tanzania ambacho ndiyo mtaji wa taifa na vizazi vyake, uzungumezie ufisadi ulikithiri kuanzia richmond, epa, escrow, kagoda, meremeta, ujenzi wa bomba la gas, lugumi, iptl nk. kisha uendelee kidogo hadi kwenye ongezeko la kutisha la deni la serikali lisilo maelezo, uangalie hujuma za mali asili zetu ikiwamo usafirishaji wa wanyama na mauaji ya tembo, hatua gani serikali ilichukua, thamani ya hujuma hizi ulinganishe na uwekezaji kwenye hiyo barabara na magorofa nssf unayoyasema, mwisho utazame mauaji ya kisiasa ya kina Mwangosi, uovyo wa huduma za afya kitu ambacho ni cha msingi kkuliko yote, habari za M'nyang, ulimboka, na wengine walioteswa kwa maslahi ya mtu mmoja, watanzania wanaoendelea kufa hadi leo kwa sababu ya ukosefu wa huduma za afya, uharamia na hujuma zilizofanywa juu ya katiba ya nchi uliolengesha kwenye kile kinachoendelea sasa, uchakachuaji wa kura na hitimisha uchaguzi wa zanzibar.

Yeyote mwenye akili timamu anajua kabisa yanayotokea leo hii,, ni matokeo ya utawala wa huyo mkwere wenu asiyekuwa na maono wala mipango ya maana ya maendeleo ya taifa zaidi ya kulinda maslahi yake na ya familia yake.

Lawama zote zirudi kwa mkwere kwa sababu ndiye muasisi wa udikteta na utawala unaoendelezwa hapa Tz. Kila kitu aliasisi yeye na sasa anafurahia matunda ya mkono wake wa mgongoni.

Naomba "ukome" kuwaudhi Watanzania kwa kuwalazimisha kuishi katika himaya ya kishetani ya ccm. Ccm ni ileile, hujuma inazofanya kwa watanzania katika awamu zake za uongozi wa kulazimisha ni rangi za maua katika shina la mti mmoja.

Ccm ondoka ukafie baharini kusikokaliwa na binadamu. TAnzania siyo mali yako, huna hatimiliki na Watanzania wamekuktaa na hawakutaki1.

Kama unataka kujifunza kaa kando waanchie Watanzania waongoze nchi kwa ufanisi bila kutumia nguvu ya majeshi kama mnavyofanya sasa.

TUMECHOKA NA UFIRAUNI WA CCM!

Uko obsessed na Mkwere!
Yeye sio mwanzilishi wa CCM, yet wote mnaimba na kuabudu jina la mwanzilishi wa CCM!
Yeye si aliyeanzisha azimio la Zanzibar lililofuta ujamaa!
Pia ufisadi ulianza labda hata kabla ya mkwere kumaliza shule, rejea issues za uhujumu uchumi enzi hizo za Mwalimu na hadithi za fagio la chuma za Mwinyi!
Serikali ya mkapa pia had a lot of scandals and possibly most of hizi cases zilikuwa ni muendelezo wa mambo yaliyotangulia!

Essence ya uandishi wangu sio kumsifu mkwere kuwa ndio raisi bora, na kubeza Magu na team yake! Ila ni ukweli kuwa uwezo wa kufikiri na kuplan kwa sasa haupo!
Tulipokuwa hatukusanyi kodi na kulinda rasilimali mali za nchi ndio mambo yalipaswa kuwa mabaya! Leo tumeongeza uwezo wa ndani, tu!epunguza wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa, lkn hizo huduma za jamii kama afya, elimu ndio zimedorora maradufu!

States walizofikia che nkapa na mkwere hadi leo tumesharudi more than 5 steps back! Hii case chanjo inayozuka kama rumours kwa sasa ikiwa ni kweli utakuja kuwa balaa kubwa! Hizi cases za kipindupindu cha mwaka mmoja hakijawahi kutokea, outbreak ya nchi nzima kwa zaidi ya miezi 6!

Anyway nyie ndio mnaofanya watu wa awamu hii wasiwajibike!
Tuna tatizo leo, mnaamsha blames kwa tawala zilizopita!
Si tulishasema tunataka mabadiliko ya kweli?
Si tulijua kikwete katuangusha na sasa ndio wakati wa kampeni wote tuliamua kuhubiri mabadiliko!

So we knew exactly wapi kuna tatizo!
We had plans ambazo zilikuwa better than hizo za waliotangulia!
Now, huu ni wakati wa kuonesha ufundi na kuleta tija kwa mtanzania sio tena turudi kule kuliko tufelisha!
Mimi bado nina tofauti na mlio wengi, bado naamini mkwere alikuwa na vitu vya msingi sana katika kufanya mambo yaende! We need him, tukubali tukatae, time will tell!
 
Wewe ni mhasibu wa serikali?Mbona maisha kawaida sana?Mlizoea vya kunyonga sasa vya kuchinja vinawatesa
Hicho ndicho tulichojifunza watanzania!
Huo ni mtazamo wangu, una haki ya kuonesha mtazamo wako au kutetea hoja kwa hoja! Chuki dhidi ya watu au dhana mbovu dhidi ya watumishi wa umma hazijengi! Na hii aina ya intimidation mtu anapotoa hoja yake huwa ni watu wenye upeo mdogo!
 
bwabwa hilo achana nalo
I wonder kwanini una status ya senior member wa JF!
Platform za matusi zipo nyingi tu! Usije JF kuambukiza tamaduni za blogs zenu za mitaani!
Anyway! Kuisadia serikali ni pamoja na kutoa maoni yako, hata bwabwa linaweza kuongea point! Cha msingi ni hoja ndani ya maneno ya huyo mtu na sio orientation yake! Who knows wewe ni nani?
 
Uko

Uko obsessed na Mkwere!
Yeye sio mwanzilishi wa ccm, yet wote mnaimba na kuabudu jina la mwanzilishi wa ccm!
Yeye si aliyeanzisha azimio la Zanzibar lililofuta ujamaa!
Pia ufisadi ulianza labda hata kabla ya mkwere kumaliza shule, rejea issues za uhujumu uchumi enzi hizo za Mwalimu na hadithi za fagio la chuma za Mwinyi!
Serikali ya mkapa pia had a lot of scandals and possibly most of hizi cases zilikuwa ni muendelezo wa mambo yaliyotangulia!
Essence ya uandishi wangu sio kumsifu mkwere kuwa ndio raisi bora, na kubeza Magu na team yake! Ila ni ukweli kuwa uwezo wa kufikiri na kuplan kwa sasa haupo!
Tulipokuwa hatukusanyi kodi na kulinda rasilimali mali za nchi ndio mambo yalipaswa kuwa mabaya! Leo tumeongeza uwezo wa ndani, tu!epunguza wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa, lkn hizo huduma za jamii kama afya, elimu ndio zimedorora maradufu!
States walizofikia che nkapa na mkwere hadi leo tumesharudi more than 5 steps back! Hii case chanjo inayozuka kama rumours kwa sasa ikiwa ni kweli utakuja kuwa balaa kubwa! Hizi cases za kipindupindu cha mwaka mmoja hakijawahi kutokea, outbreak ya nchi nzima kwa zaidi ya miezi 6!
Anyway nyie ndio mnaofanya watu wa awamu hii wasiwajibike!
Tuna tatizo leo, mnaamsha blames kwa tawala zilizopita!
Si tulishasema tunataka mabadiliko ya kweli?
Si tulijua kikwete katuangusha na sasa ndio wakati wa kampeni wote tuliamua kuhubiri mabadiliko!
So we new exactly wapi kuna tatizo!
We had plans ambazo zilikuwa better than hizo za waliotangulia!
Now, huu ni wakati wa kuonesha ufundi na kuleta tija kwa mtanzania sio tena turudi kule kuliko tufelisha!
Mimi bado nina tofauti na mlio wengi, bado naamini mkwere alikuwa na vitu vya msingi sana katika kufanya mambo yaende! We need him, tukubali tukatae, time will tell!
Ukweli usemwe Mkwere alitupeleka pabaya.
Pamoja na promo kibao za NSSF, NPF, makongamano, masemina elekezi na masherehe matanuzi. Nchi ilizidi kudidimia kiuchumi wakubwa wakizidi kwenda kubembea Dubai Brazili na kwinginepo!!
Ina maana hamukuona wizi na ufisadi uliokuwa unaendelea??
Sioni sababu ya kumsifia mtu aliyedidimiza uchumi wa nchi eti ni kichwa!!
Madawa ya kulevya TZ ikageuka safe heaven ya madealers!!
Lugha za wizi zikazaliwa eti Mchongo , uchakachuaji, maujanja!!
Yote yamezaliwa na watu wa kuliibia taifa letu!!
Mhs Rais awabane warudishe hata fedha walizo ficha huko Ulaya!!
Mtu katawala nchi bila kujali uadilifu bora liende!!
 
Back
Top Bottom