Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Kesi inayoondelea mahakamani dhidi ya aliekuwa balozi wa Tanzania mjini Roma Prof Mahalu; leo katika utetezi wake kasema kuwa Raisi Kikwete by then waziri wa mambo ya nje alifahamu na kubariki ununuzi wa jengo la ubalozi wetu Italy ambalo lilipelekea aliyekuwa balozi wa wakati huo Prof Mahalu kushtakiwa kwa kuliingizia taifa hasara ya mamilioni ya Euro....
Prof mahalu katika utetezi wake kasema Kikwete alipokuwa waziri wa mambo nje mnamo mwaka 2001 alitembelea nchini Italy na kukagua mjengo huo.....na aliuliza iweje ununuzi wa jengo uwe na mikataba miwili akaambiwa ni kawaida kwa ununuzi wa majengo ya bei nafuu kama lile......
Prof mahalu katika utetezi wake kasema Kikwete alipokuwa waziri wa mambo nje mnamo mwaka 2001 alitembelea nchini Italy na kukagua mjengo huo.....na aliuliza iweje ununuzi wa jengo uwe na mikataba miwili akaambiwa ni kawaida kwa ununuzi wa majengo ya bei nafuu kama lile......